Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,154
- 17,027
Ngozi ndo imeanza
Hahahahaaaaaaa... Wacha MOKO... Ulikuwa wapi kaka.... Mueleze BUBU.... Tatizo ni Media zao kuwapamba kuliko uwezo... Nakumbuka Lampard alipofunga lile goli WC2010 kwa Madiba na likakataliwa walichonga sana... Juzi kati wao walifungwa the same kind na UKRAIN Kimyaaaa..... They r so biased with their media... Acha leo watoke...
England wanakoswakoswa.......Inagonga mwamba
Salama mkuu......Tupo tu tunasikilizia usaili wa Prof...Bala the man lete habari mkuu .... ....