Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Haya M'Villa na Giroud kamalizaneni na AW koz EURO yenu is Over. Would love to see these two guys at the Emirates next season...
Nimewachoka wafaransa kwenye timu yetu
Haya M'Villa na Giroud kamalizaneni na AW koz EURO yenu is Over. Would love to see these two guys at the Emirates next season...
Walitarajia maana kambini kulikuwa ni full vurugu......Waligombana mara baada ya mechi yao ya mwisho kwenye hatua ya makundi.....Nasri mwenyewe ni kama kalazimishwa kucheza,hakuna lolote alilofanya baada ya kuingia zaidi ya kupiga kona......Ufaransa na Uholanzi zimeponzwa na beef na mavurugu baina ya wachezaji na pia ukaidi wa makocha wao...Hawa wafaransa hawaonyeshi hata kuumizwa na matokeo haya, ni kana kwamba walitarajia haya!!
Walitarajia maana kambini kulikuwa ni full vurugu......Waligombana mara baada ya mechi yao ya mwisho kwenye hatua ya makundi.....Nasri mwenyewe ni kama kalazimishwa kucheza,hakuna lolote alilofanya baada ya kuingia zaidi ya kupiga kona......Ufaransa na Uholanzi zimeponzwa na beef na mavurugu baina ya wachezaji na pia ukaidi wa makocha wao...
Asante na wewe Tummy, asante kwa kutupa moyo!Asanteni kwa mpira waungwana
Leo wanaivunja hiyo rekodi.
Walitarajia maana kambini kulikuwa ni full vurugu......Waligombana mara baada ya mechi yao ya mwisho kwenye hatua ya makundi.....Nasri mwenyewe ni kama kalazimishwa kucheza,hakuna lolote alilofanya baada ya kuingia zaidi ya kupiga kona......Ufaransa na Uholanzi zimeponzwa na beef na mavurugu baina ya wachezaji na pia ukaidi wa makocha wao...
...Mie leo niko kwa mama, hawa Italy siwafagilii kabisa lakini England kama hawatakuwa makini basi wanaweza kurudishwa kwao.
Bak za masiku,
Natumaini leo ndio porojo zitaisha, nataka mafioso original wawabandike hawa England team warudi mikono mitupu maneno mengi sana hawa bora yaishe leo tuwe more focussed na timu imara.
BTW nitaanza leo rasmi kuangalia hizi mechi maana zimefika mahali patamu zaidi.
Bravooo SPAIN...Au revoir France..!!!