Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Yap......Nashangaa ni kwa nini kawaweka bench Samir Nasri , Evra, Ben Arfa na Olivier Giroud......Malouda keshajizeekea sijjui kwa nini anamuanzisha

Kumbe Nasri yupo benchi...! Nilidhani ni majeruhi.
 
RAMOS ile kadi kajitakia... sidhani kama kulikua na umuhimu wa kufanya alichofanya.......
 
Dah! Ufaransa wanataka kuniangusha leo..namna gani hapa ndugu watazamaji?!
 
Ufaransa wawe makini sana na Iniesta na Silva.....

Watu hatari sana hawa....

Pique......Free header...........Goal kick
 
Fabregas katoa bonge la pasi kwa Iniesta kama kawaida yake sema beki wa France kaokoa na kuwa kona.
 
Timu yote hovyo, hawachezi kwa kujituma hata kidogo
Tatizo liko kwenye kiuongo.....Mapengo ya Nasri na Ben Arfa yanaonekana dhahiri...

Dakika moja ya nyongeza kabla ya Half Time
 
  • Thanks
Reactions: BAK
spain wamecheza vizuri licha ya uzembe wa hapa na pale.
Nina hakika France itafanya mabadiliko kipindi cha pili.
Natarajia Del Bosque atafanya hivyo hivyo.
Tuonane katika lala salama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom