Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

article-2158368-1397D0C5000005DC-245_634x448.jpg
Helpless: Rui Patricio looks on as Nicklas Bendtner heads goal for Denmark

2-2 Bendtner again.
 
Ronaldo yeye na kipa... Kaamua kupiga nje!!
 
article-2158368-1397D0C5000005DC-245_634x448.jpg


Helpless: Rui Patricio looks on as Nicklas Bendtner heads goal for Denmark

2-2 Bendtner again.
 
Portugal wanapata goli la tatu. I can't see Denmark turn it around.
 
Deal done... Ronaldo is Tired... I dont expect Nothing much from Him!!!!!!
 
game nzuri bendtner kashindilia mbili safi sana at last goners tutapata wateja wa kumnunua...:clap2:
 
article-2158368-1397F1C7000005DC-2_634x448.jpg

Red alert: Denmark's Simon Kjaer (right) clears the ball away from Cristiano Ronaldo's reach.

There goes the final whistle! They left it late, but Portugal complete a 3-2 win. They collect the three points. They are still alive in this tournament.
 
Jamani watanzania wenzangu mie nipo hapa uwanjani ambapo game kati ya Portugal na Denmark inapigwa na kisa kikubwa cha Ronaldo kukosa goli yeye na kipa ni kuwa alivyogusa tu mpira mashabiki wa Denmark wakaanza kumtaja Lionel Messi hivyo Ronaldo akachanganyikiwa na kujikuta anakosa goli yeye na kipa.Ronaldo inabidi afanye kazi kumfikia Messi.Messi jumamosi kawapiga Brazil goli 3 peke yake.
 
Jamani watanzania wenzangu mie nipo hapa uwanjani ambapo game kati ya Portugal na Denmark inapigwa na kisa kikubwa cha Ronaldo kukosa goli yeye na kipa ni kuwa alivyogusa tu mpira mashabiki wa Denmark wakaanza kumtaja Lionel Messi hivyo Ronaldo akachanganyikiwa na kujikuta anakosa goli yeye na kipa.Ronaldo inabidi afanye kazi kumfikia Messi.Messi jumamosi kawapiga Brazil goli 3 peke yake.

Ha..ha..ha..wewe umeniacha hoi kumbe walimtaja jini kiguru ndio maana Ronaldo alipoteza network!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom