Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hili kundi kweli ni la mauti. Ningependa Holland waingie, lakini Ujerumani....mfupa mgumu.
Holland akishinda,wote wanapita.
Sema kama ulivyosema Germany ni mfupa mgumu.
Mie niko mbali na nyumbani leo inabidi kipindi cha kwanza niangalie kwenye simu.