Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

asante sana, naona wanaonyesha matangazo ya biashara

Sasa hivi HT wanaonyesha matangazo lakini wameonyesha 45 minutes za kwanza na wataonyesha pia kipindi cha lala salama....Wameanza kuzungumzia performance ya timu zote kipindi cha kwanza.
 
LEGE mpira magoli aisee. Ingekuwa ni starehe kusingekuwa na haja ya kushindania ubingwa na makombe.

Tena sasa hivi Sepp anafikiria kurudisha Golden Goal Rule a.k.a Sudden Death,ili kuondoa dhana kama yako na zile timu zinazopaki basi na treni ili ziende kwenye penalty shoot outs.

Golden goal ikirudishwa itarudisha msisimko kiasi katika soka.
 
Last edited by a moderator:
Kama kila game itakuwa hivi,haya mashindano yatakuwa ya hovyo kabisa.

Hadi sasa game ya Russia vs Czech Republic ndiyo iliyonivutia.

Hii game ya sasa,utafikiri Spain siyo bingwa mtetezi na bingwa wa dunia!!
 
Duh! Furaha ya Italia imedumu kidogo sana.
Spain 1-1Italy.
 
Golden goal ikirudishwa itarudisha msisimko kiasi katika soka.

Katavi, tena sana. Kwani kutakuwa hakuna ujinga wa kurembaremba na mpira. Kabumbu la ushindi ndilo litakuwa likitandazwa. Unakumbuka kombe la dunia 98 na la Ulaya 2000,jinsi kabumbu ilivyotandazwa?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom