BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
BelindaJacob nafurahi kukuona umesharecover na matokeo ya jana. Nadhani mitaa ya huko ilikuwa imepoa sana kama kuna msiba...Pole sana
Asante BAK tulijua tungewamaliza kirahisi wale jamaa kumbe wapi. Na kama ulijua palipoa sana baada ya game!! Halafu kwenye bet nilitabiria wangeshinda holaaa, khaah nikaliwa!!
Last edited by a moderator: