Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Spain mbona hawana forwards ,...??? Strategy gani wanatumia
Kusema kweli mchezo wa tic-tac wa Spain siupendi, na pia kama mchezaji hayuko uso kwa uso na golkipa hawana kujaribu kicks za mbali.
 
Kocha naona kaamua kum-disrespect Torres na Chelsea . Yani kamwambia japo David Villa kaumia, kiwango chake hakijafikia kupata namba pale mbele. Yani ana midfielder ambao wazuri pale mbele kushinda yeye ambae. Ni. Forward.

kaka hawa jamaa wanahitaji forward ili washinde nadhani...
 
Msiwe na hofu punguzeni kisebusebu jamani mda ukifika lazima huyu muitaliano achinjwe kesha elekezwa kibra.Twasubiri sara ya mwisho ya papa toka roma tusijeharakisha kumchinja ikaonekana ni kibudu.
 
hawa jamaa wa spain vipi mbona kama hawataki ushindi.
 
Formation ya Spain inawaua wenyewe.

Kutegemea wachezaji hao hao wachukue mpira na kwenda kushambulia inawapa mda beki ya Italy kujipanga.
 
Msiwe na hofu punguzeni kisebusebu jamani mda ukifika lazima huyu muitaliano achinjwe kesha elekezwa kibra.Twasubiri sara ya mwisho ya papa toka roma tusijeharakisha kumchinja ikaonekana ni kibudu.


We ni mgeni wa Soka na ndio maana maneno yanakumwagika tu.
 
Duh! Kwa hiyo leo Italia ni underdog?! Soka halina adabu kabisa!
 
Mpira starehe jamani siyo magori

LEGE mpira magoli aisee. Ingekuwa ni starehe kusingekuwa na haja ya kushindania ubingwa na makombe.

Tena sasa hivi Sepp anafikiria kurudisha Golden Goal Rule a.k.a Sudden Death,ili kuondoa dhana kama yako na zile timu zinazopaki basi na treni ili ziende kwenye penalty shoot outs.
 
Last edited by a moderator:
Sana tu. Makocha wengine wanajitakia, huyo kwa tabia yake hafai kupewa namba

kuna hawa ma pundits wa ASTRO SUPERSPORT wanasema spain wanajitahidi kucheza barcelona style but there no messi out there .. they need to put some one who can score goals... i hope watafanya mabadiliko wapeleke kilio kwa Gang Chomba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom