Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Euro 2012: The Official EURO 2012 Thread

Kwa hiyo Schneider hamumtaki tena...

Uholanzi hawana beki aisee.....Huyo Heitinga anawaumiza kweli
Huo ushabiki ila experience matters mkuu, ila striking force yao jamaa ilibidi wawe wanaongoza mpaka sasa
 
Huyu Robben anaua sana. Sio lazima kila mpira apige shuti yeye

roben selfish kimtindo... namafananisha na yule dogo wa chelsea ambaye anasema yeye ni forward anachezeshwa out of position .. ni muingereza black.. jina limenitoka .. hatoi pasi mpaka mpira umshinde ...
 
roben selfish kimtindo... namafananisha na yule dogo wa chelsea ambaye anasema yeye ni forward anachezeshwa out of position .. ni muingereza black.. jina limenitoka .. hatoi pasi mpaka mpira umshinde ...
Daniel Sturridge
 
Kweli group B ni death group,ngoja tuone maajabu ya Portugal baadae
 
roben selfish kimtindo... namafananisha na yule dogo wa chelsea ambaye anasema yeye ni forward anachezeshwa out of position .. ni muingereza black.. jina limenitoka .. hatoi pasi mpaka mpira umshinde ...

Atakua Sturridge.

Holland wamefanya maisha yao magumu. Inabidi sasa. Akawafunge germany na Portugal kama anataka kupita; kitu ambacho kigumu sana.
 
Favorite tag inawapa presha waholanzi.... wakifungwa leo nafasi yao kusonga mbele toka ktk hili Group itakuwa finyu.
 
[FONT=century
gothic]Waholanzi sijui wana nini wanampira mzuri lakini sikuzote
wanakosa bahati,halafu robben kama vipi atolewe
tu[/FONT]

Robben ni mchoyo.

Ila Schneider ni jembe hasa....maana mapande anayoyatoa si ya kitoto...

Sijui kwa nini kocha wa Uholanzi aliwaweka benchi Van De Vaart, Kuyt na Hantelaar....

Dakika ya 92...

Uholanzi wasipoangalia watatoka mapemaaaaaa
 
uholanzi walikuwa over confidence
Waliwadharau sana Denmark....

Hali yao itakuwa mbaya sana maana Ureno na Germany ni wazuri zaidi ya Denmark...

Wameyafanya maisha yao kuwa magumu kweli....
 
Van persie arsenal tuchukue hela tu....
 
Robben ni mchoyo.

Ila Schneider ni jembe hasa....maana mapande anayoyatoa si ya kitoto...

Sijui kwa nini kocha wa Uholanzi aliwaweka benchi Van De Vaart, Kuyt na Hantelaar....

Dakika ya 92...

Uholanzi wasipoangalia watatoka mapemaaaaaa
Kweli robben ni glory hunter ni kama alivyowacost B Munich uefa,ila hili group ni gumu ngoja tuone baadae........
 
Waliwadharau sana Denmark....

Hali yao itakuwa mbaya sana maana Ureno na Germany ni wazuri zaidi ya Denmark...

Wameyafanya maisha yao kuwa magumu kweli....

Kocha wa Holland ubishi utamuisha,manake watu walitaka van der vaart aanze,yeye kawaambia ana. M-favour afellay.

Tuone game inayofuata.

Kundi hili limezidi kuwa kali sasa . Tuta enjoy mpira mwezi huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom