hamna channel yoyote ya maana kwenye package yao,kama unaafford dstv afadhali uendelee na dstv tu.
vilevile world cup huwa inaonyeshwa tv za bure world wide,hii haina maana kuwa za kulipia hawaonyeshi,bali hawawezi ku-monopoly broadcast ya world cup coverage,lkn ninavyoijua tz anything is possible.