Eti wanaume sio wenzetu??na je wanawake si wenzenu!

watu hawataki kuwa wavumilivu...mwanamke tu kajifungua,mtu anachukua house girl.....mama ana mapungufu,badala mtu amsaidie kubadilika,amvumilie,ashirikishe wazee na kumuombea....anaona house girl hapo ana lala nae....watu wana simplify maisha kupita kiasi...kwa mtindo huo yabidi kukaa kwa akili,kama elimu huna na kuna nafasi ya kusoma,kufungua biashara fanya hivyo.....nyumba kama unaweza jenga kwa akili.....kikinuka,ondoka si mpaka uje uwekewe sumu na mke mwenzio house girl hapo ndani ukijidai kutaka heshima na mwanamke uvumilivu.....au unasemaje Nyamayao?

kila uvumilivu una kiac chake tunavumilia sana ndio mana bado tupo kwenye hizi ndoa, kujiweka sawa Michelle ni kitu cha muhimu sana kwa ndoa za cku hizi coz hazitabiriki kabisa kabisa....bora tu mtu ujiweke tayari kwa lolote huko mbeleni.
 
kila uvumilivu una kiac chake tunavumilia sana ndio mana bado tupo kwenye hizi ndoa, kujiweka sawa Michelle ni kitu cha muhimu sana kwa ndoa za cku hizi coz hazitabiriki kabisa kabisa....bora tu mtu ujiweke tayari kwa lolote huko mbeleni.


da nyamayao nimekosa neno kabisa ..
 
umeonaeeh kiongozi....

Yaani hata sijui kwa nini watu wanahangaika kiasi hicho...Kwa nini hatutaki kuamini kwamba tunaishi na watu ambao hatukuzaliwa nao na si ajabu hatukutegemea hata siku moja kwamba tungeweza kukutana, achana na kuishi nao. Na ndo watu hao tunataka wawe na compliance ya 100% kwa kila kitu tunachokitaka. Hilo kwa kweli ni kujidanganya!

Let's try to be realistic na tuone kama mambo yatagoma. Mambo yakienda ndivyo sivyo tunazima gari na kutafuta usafiri mwingine!

Hivi hilo ni gumu kueleweka kiasi hicho?

Mzee DC!
 
Yaani hata sijui kwa nini watu wanahangaika kiasi hicho...Kwa nini hatutaki kuamini kwamba tunaishi na watu ambao hatukuzaliwa nao na si ajabu hatukutegemea hata siku moja kwamba tungeweza kukutana, achana na kuishi nao. Na ndo watu hao tunataka wawe na compliance ya 100% kwa kila kitu tunachokitaka. Hilo kwa kweli ni kujidanganya!

Let's try to be realistic na tuone kama mambo yatagoma. Mambo yakienda ndivyo sivyo tunazima gari na kutafuta usafiri mwingine!

Hivi hilo ni gumu kueleweka kiasi hicho?

Mzee DC!


:lalala::lalala: dc hapo kwenye red hapo hivi walisema utampenda ,utamtunza ,utamuheshimu ,mpaka kifo kiwatenganishe
 
hahaha Asha D kwa nini unakubaliana na huyo baba? mie sikutegemea maneno mazito kama hayo toka kwake ,kwanza yuko very aged na kidoleni alikuwa na pete yake ya ndoa ikionyesha kabisa ni baba wa family amekata tamaa mpaka kusema hayo?




Nakubaliana na huyo baba coz alichosema ni reality ... we expect different things from men and vice versa alaf tunachukulia what you expect ndo iwe. Kweli kabisa haiwezekani, naamini huyo baba aliongea from the experience alizopitia na kuona. akizungumza otherwise haina maana kua ndo sawa Lah! ila ange kua anapoza tu mambo. Usipo angalia ukabweteka tu kwenye ndoa hata kama mnapendana saana na mwenzi wako anaweza kuja kuku surprise uka faint na kufia huko which at the end of the day itakua ni advantage kwake. Hivyo basi at all times akili iwe alert'
 
Yaani hata sijui kwa nini watu wanahangaika kiasi hicho...Kwa nini hatutaki kuamini kwamba tunaishi na watu ambao hatukuzaliwa nao na si ajabu hatukutegemea hata siku moja kwamba tungeweza kukutana, achana na kuishi nao. Na ndo watu hao tunataka wawe na compliance ya 100% kwa kila kitu tunachokitaka. Hilo kwa kweli ni kujidanganya!

Let's try to be realistic na tuone kama mambo yatagoma. Mambo yakienda ndivyo sivyo tunazima gari na kutafuta usafiri mwingine!

Hivi hilo ni gumu kueleweka kiasi hicho?

Mzee DC!




LOL ... Dark city I dont believe its that simple!
 
Nakubaliana na huyo baba coz alichosema ni reality ... we expect different things from men and vice versa alaf tunachukulia what you expect ndo iwe. Kweli kabisa haiwezekani, naamini huyo baba aliongea from the experience alizopitia na kuona. akizungumza otherwise haina maana kua ndo sawa Lah! ila ange kua anapoza tu mambo. Usipo angalia ukabweteka tu kwenye ndoa hata kama mnapendana saana na mwenzi wako anaweza kuja kuku surprise uka faint na kufia huko which at the end of the day itakua ni advantage kwake. Hivyo basi at all times akili iwe alert'

naomba kuwasilisha hoja ,umeshawahi kukutana na ushauri kama huu,

Mwanaume si mwenzio kama unauwezo wa kujenga jenga kwa siri hata kwenu au popote ,weka kitega uchumi chochote u neva no kesho inakuwaje ? nini mtizamo wako ?
 
naomba kuwasilisha hoja ,umeshawahi kukutana na ushauri kama huu,

Mwanaume si mwenzio kama unauwezo wa kujenga jenga kwa siri hata kwenu au popote ,weka kitega uchumi chochote u neva no kesho inakuwaje ? nini mtizamo wako ?

hivi cku hizi bado watu wanajenga kwa cri tena? wengine tumejenga bila ucri wowote, mwenza wako anajua kabisa unajenga, na yeye kajenga kwao zake za kumtosha,alizojenga mjini ni za familia(watoto wake) kuna ile kusaidiana kama amekwama lakini sio kificho kwamba anajenga kwa cri, maisha yanasonga.
 
hivi cku hizi bado watu wanajenga kwa cri tena? wengine tumejenga bila ucri wowote, mwenza wako anajua kabisa unajenga, na yeye kajenga kwao zake za kumtosha,alizojenga mjini ni za familia(watoto wake) kuna ile kusaidiana kama amekwama lakini sio kificho kwamba anajenga kwa cri, maisha yanasonga.

Mhhh,

Naomba ukipata muda unistue tuongee chemba kuhusu hayo mambo!!
 
naomba kuwasilisha hoja ,umeshawahi kukutana na ushauri kama huu,

Mwanaume si mwenzio kama unauwezo wa kujenga jenga kwa siri hata kwenu au popote ,weka kitega uchumi chochote u neva no kesho inakuwaje ? nini mtizamo wako ?

Kama mwanamume au hata mwanamke anakuwa kikwazo kwa maendeleo yako...why not? Mimi kuna watu wengi sana (akina mama) nawashauri kuwa na mambo yao kwa siri endapo wenzi wao wanawakwamisha!
 
:lalala::lalala: dc hapo kwenye red hapo hivi walisema utampenda ,utamtunza ,utamuheshimu ,mpaka kifo kiwatenganishe

FL1,

That's too theoretical to be true!! It only applies under STP. Any changes...go with the breeze usijesombwa na Tsunami ndugu yangu!!
 
kaa kwa akili...usiolewe ukabweteka kuwa umefika...kuwa tayari kwa maamuzi magumu wakati wowote....huolewi na malaika bali mwanadamu mliyekutana kila mtu akiwa na maisha yake na ambaye hata mkiachana maisha lazima yaendelee.....

...aisee, yaani Michelle lile darasa la forgiveness na kukubaliana na 'mapungufu' ushaliweka kando sasa? ha ha...
well, wengi huwa hawaelewi hapo kwenye; maisha lazima yaendelee!...(incl kusamehe ofcoz!)
Nice One.

cku hizi mambo mengi kwenye ndoa yamebadilika kutokana na ndoa zenyewe za cku hizi zilivyo, mambo yamekuwa vululu vululu sana...kwa kweli mie najihami na nitaendelea kujihami hata nicpoona kasoro.

...issshhhhh?! Nyamayao kumbe nawe unakwepa mawe kizani? Muhimu bana.
maisha ya sasa ni kiza tororo. Ukiona wenzio wanakwepa, nawe ungana nao...'jiwe halichagui uso!'

Yaani hata sijui kwa nini watu wanahangaika kiasi hicho...Kwa nini hatutaki kuamini kwamba tunaishi na watu ambao hatukuzaliwa nao na si ajabu hatukutegemea hata siku moja kwamba tungeweza kukutana, achana na kuishi nao. Na ndo watu hao tunataka wawe na compliance ya 100% kwa kila kitu tunachokitaka. Hilo kwa kweli ni kujidanganya!

Let's try to be realistic na tuone kama mambo yatagoma. Mambo yakienda ndivyo sivyo tunazima gari na kutafuta usafiri mwingine!

Hivi hilo ni gumu kueleweka kiasi hicho?

Mzee DC!

...Mheshimiwa, nimependa sana hiyo 'KIBAJAJ' kinapoleta kokoro unachapa mwendo! HA HA...!
 
Back
Top Bottom