FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
- Thread starter
- #81
Ndoa haziwezi kudumu kwa sababu asilmia kubwa ya wanandoa wa kisasa mali ni first priority! Yaani kuna mtu alinishangaa kwa nini napitisha mshahara wangu kwenye joint account yangu na mume wangu wakati huyo mdada ni mke wa mtu tena ni mlokole. Yani alinisihi kabisa nifikirie kwanza kwani yeye ndo alikuwa cashier wetu. Nilimshangaa sana. Well hapo ndo nilikuwa nimeolewa now it is 9 years bado sijaona ubaya wa kushare account na mume wangu. Mentality tulonazo ndio zinazoharibu ndoa zetu.
du hii kali huyu mlokole badala ya kukutia moyo anakushangaa kazi kweli kweli