Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
Nashukuru aliyekuombea kwa sababu nlikuwa natafuta jibu unalostahili,najuta kusoma hi thread ila wewe ndo mvuta bangi na madawa ya kulevya,
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Join Date : 28th April 2011
Posts : 45
Thanks 0Thanked 3 Times in 2 Posts
Rep Power : 0
Ni wazi mnaeleweka sasa kwa agenda ya kuokoa dau linalozama hadi umeanza matusi kuwa CDM ina "nguvu ya wavuta bange" This can only come from an ass.
Aombe msamaha wakati amesema ukweli. Wanacdm wanasema CCM ni wizi, sasa je CCM wote ni wizi? Mbona hakuna hata mmoja wa wakereketwa wa CCM alikuja sema aombwe msamaha. Sasa nyie kuitwa wavuta bangi ndio iwe kesi. Acha hizo wewe. Unataka kusema SUGU sio mvuta Bangi?
Tupe huo uwiano,wanawake walikuwa wangapi,wazee wangapi,vijana wangapi,vijana jobless?acha chuki ndugu
je ccm wote ni wizi? - yes, ccm wote ni wezi. Wooooote kabisa bila kujali ni balozi wa nyumba kumi kumi au ni katibu mwenezi. How? - ushindi wa 2005 ulikuwa mnono sana (80%) misafara ilikuwa na bling bling za mashingi watu tukajiuliza hela zimetoka wapi? Now we know - epa. Kama kuna mwana-ccm yeyote anataka kujitasa basi inabidi aukane ushindi wa kishindo wa 2005. Hapa sijaongelea posters za 2010 kila kona ya nchi. Wezi wote.
je CCM wote ni wizi? - Yes, CCM wote ni wezi. WOOOOOTE kabisa bila kujali ni balozi wa nyumba kumi kumi au ni katibu mwenezi. HOW? - Ushindi wa 2005 ulikuwa mnono sana (80%) misafara ilikuwa na bling bling za mashingi watu tukajiuliza hela zimetoka wapi? Now we know - EPA. Kama kuna mwana-ccm yeyote anataka kujitasa basi inabidi aukane ushindi wa kishindo wa 2005. Hapa sijaongelea posters za 2010 kila kona ya nchi. WEZI WOTE.
Haya watanzania oneni sasa, hawa ndiyo watu walioajiriwa na Mukama kuja kuitetea CCM, watu tunazungumzia msiba wa nchi kufisadiwa wao wanazungumzia bange. RIP CCM
Omba msamaha kwa 80% ya watanzania(Tena tuma Barua kwa Familia ya nyerere kuomba msamaha kwa kuwaita wizi)
Kama una majini/mashetani,then hauwezi endana na bangi.Ndo ukweli huo.Ni kama tu jinsi huwezi handle kiti moto.I really love anything that your type cant handle.Inaondoa mashetani.Na wengi wenu yamewajaa!Chadema hawapend kuambiwa ukweli! Nahis all the time mpo high
Chadema wote wavuta bange
Wanawake 8,wazee 20,walemavu 0, waliobaki ni watoto na wazee wa kulanduka
Omba msamaha kwa 80% ya watanzania(Tena tuma Barua kwa Familia ya nyerere kuomba msamaha kwa kuwaita wizi)
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!