Eti wanaohudhururia mikutano ya chadema nao ni umma!!

Tolowski

Senior Member
Apr 28, 2011
122
20
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!

Waliochoka na maisha ndio wanaotafuta matumaini kwani wamenyonywa sana na wakoloni weusi na kuwepo kwao kwenye maandamano na mikutano ya chadema ndio tumaini lao.
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!

Kuna post zaidi ya tatu umefahamishwa tafsiri ya umma na bahati nzuri au mbaya we ni limbukeni wa fikra mgando!

Jamii iliyodhurumiwa huchakaa kabisa kimwili,kiroho na kiakili! Labda nikufahamishe kuwa ktk jamii hiyo iliyodhurumika na kuchoka kundi linalo badilika kiakili kwa haraka ni kundi la vijana, na ndiyo linalobeba dhamana ya ukombozi wa taifa hili!!!!
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!

Haya watanzania oneni sasa, hawa ndiyo watu walioajiriwa na Mukama kuja kuitetea CCM, watu tunazungumzia msiba wa nchi kufisadiwa wao wanazungumzia bange. RIP CCM
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!


Baba wa Binguni natubu kwaajili ya watu kama Tolowski,sawasawa na neno lako Njooni tusemezane ijapokuwa dhambi zenu ni nyekundu kama damu nitazisafisha na kuwa nyeupe kama theruji,baba si kwa akili zake wala mawazo yake anayasema haya bali anahitaji rehema zako na utukufu wako na huruma yako isiyo na kiwango imshukie.Amen.

Baba litazame pia taifa hilo la watu waliopondeka moyo na kukosa matumaini mbele ya watesi wao wanaonekana machafuko lakini kwako baba kila roho ni yathamani mbele zako usiwapite baba,kasikie kilio chao,unapowadhuru wengine baba waguse nawao,kama ulivyosema kwa wana wa Israel Basi sema na kwetu pia.Adui zetu wametuzunguka wanaunguruma kama simba.Njaa,maisha magumu,kukata tamaa vinakaribia kutuzidi nguvu baba tusaidie.
 
Halafu wanatafuta washauri wawaeleze kwa nini hawapendwi! Haya ndo mambo yanayofanya mchukiwe, mmezidi JEURI.
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!

hv ukishakuwa mwanaccm unapoteza kabisa uwezo wa kufikiri? Au wanafanya makusudi, mtu anaongelea bange lakin hajiuliz kwann vijana wanavuta bange, kiama chenu kimèfika tutukanen sana tena ungeongeza kwamba ni vijana waliopata zero form 4
 
Mi nashaka hata wanacdm humu ni wale wale aliowataja tolowski.
 
Mi nashaka hata wanacdm humu ni wale wale aliowataja tolowski.

Will the real fisadi puppets please stand up!

Huku ndani kuna wanacdm waliojitambulisha kwa majina, Zitto,Regia,mtei , slaa and Ben amongst others hawa ni according to u and Tolowski 'Bangez ?'

Will the real fisadi puppets pls stand up, pls stand up!
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!

Niko Arusha lakini sitakujibu maana kuna wenye maneno makali ya kukujibu wanakuja
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!


Unbeliavable! Tolowski what's going on dear? Hivi kweli Watanzania tumefikia hatua ya kubaguana kiasi hiki? kwamba vijana wasio na kazi sio binadamu? Katika context ya siasa za Tanzania umma unatumika kumaanisha wananchi - hususan wapiga kura. Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yeyote (Tanzania included) kwamba kati ya wapiga kura kuna nyani, tumbili, kuku na the likes. Ni umma, kwa maana ya binadamu -raia wa mahali husika mwenye kutimiza masharti ndio anapiga kura.

Sasa, kama Arusha ina vijana wavuta bangi ambao kwa tasfiri yako si umma (si binadamu) kwa nini Batilda alikuwa anagombea kiti cha ubunge Arusha? Kwa nini ccm walimwaga hela ili mgembea wao achaguliwe? Yule meya wa kuchonga anaongoza sungura? Ni kitu gani hasa kimesababisha hawa vijana wakavuta bangi? Na kwa nini vijana hawana kazi? Naomba nikukumbushe, hakuna mzazi anatamani mtoto wake akiwa mkubwa awe mvuta bangi, muuza machungwa barabarani, muokota chupa, msukuma mkokoteni au hata muuza viberiti ubungo mataa.

Ni utawala mbovu ndio unawataka kuwapeleka kuzimu na ndio maana 'kwa ujasiri na ubunifu' wa kujitafitia ajira basi wanafanya hivyo. Inawezekana kabisa kwa kuuza viberiti hawa vijana hawatakaa wapate hela za kutosha na kujenga makazi yao karibu na wewe huko masaki au karibu na ile nyumba yako uliyompangisha 'mzungu' Oysterbay! Ila wanalipa bill zao kwa jasho lao tena jasho zito! the fact that you wrote this gabbage says more about you that it says about vijana wa Tanzania. You should be ashamed of yourself and on behalf of your parents I sincerely apoligise to all Tanzanian vijana for bringing into this planet such a useless cow!
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!



Join Date : 28th April 2011
Posts : 45
Thanks 0Thanked 3 Times in 2 Posts

Rep Power : 0

Ni wazi mnaeleweka sasa kwa agenda ya kuokoa dau linalozama hadi umeanza matusi kuwa CDM ina "nguvu ya wavuta bange" This can only come from an ass.
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Kwenye bold mkuu
Unaonaje kama ukituomba msamaha watanzania kwa heshima ya jamvi, manake kuwaita watz kwa maelfu yao eti wavuta bangi huoni kuwa umekosa nidhani na ninaamini hata nyumbani kwenu kuna wengu tu wanaenda kwenye mikutano ya cdm kuliko ya chama chetu je nao wavuta bangi?? Please kama wewe ni mstaarabu umekosea na tutake radhi kaka
 
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Kwani umma ni kitu gani?Ama umeishia madrassa peke yake?Huwa najiuliza sana na elimu inayotolewa Tanzania nyakati hizi.Huwezi kutambua kuwa umma wa watanzania una consist jamii za tofauti kama ulivyozitaja hapo juu?
Ama umma kwa tafsiri yako ni nini?
Nimegundua kuwa elimu yetu bongo imeshuka sana coz wachangiaji wengi humu ambao ni kizazi hiki kipya amabacho ni production ya hizi elimu za kata ni vilazas wa kutupwa,wanaonyesha ufinyu wa hali ya juu wa uchambuzi na utambuzi.Sasa tutakaa tuweze kujitawala with mindsets kama zenu?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom