Mikutano ya CHADEMA imeanza kuyatoa Majoka mapangoni, Kumbe Shujaa Magufuli alitukosea sana kuzuia Mikutano ya siasa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,998
142,021
Kwa mara ya mwisho nguvu ya Mikutano ya kisiasa niliiona pale Mwembeyanga kwenye ile list of shame ambayo hadi leo wajukuu wanarithishwa dhambi

Nawaona Chadema ni kama wako serious hivi kwenye Mikutano yao sasa sijui ile Asali imegeuka shubiri au namna gani

Tuzidi kumuombea Tundu Lisu, Mbowe, Mnyika na Chadema kwa Ujumla maana vyama vingine Vyote vya Upinzani vilishadakishwa na Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto Kabwe

Mungu wa mbinguni awabariki 😀
 
Kwa mara ya mwisho nguvu ya Mikutano ya kisiasa niliiona pale Mwembeyanga kwenye ile list of shame ambayo hadi leo wajukuu wanarithishwa dhambi

Nawaona Chadema ni kama wako serious hivi kwenye Mikutano yao sasa sijui ile Asali imegeuka shubiri au namna gani

Tuzidi kumuombea Tundu Lisu, Mbowe, Mnyika na Chadema kwa Ujumla maana vyama vingine Vyote vya Upinzani vilishadakishwa na Kikosi Kazi cha Prof Mkandala na Zitto Kabwe

Mungu wa mbinguni awabariki 😀
Kwa mtu mwenye akili timamu lazima aone faida ya hii mikutano inawaamsha watawala hawa majangili
 
...
Nawaona Chadema ni kama wako serious hivi kwenye Mikutano yao sasa sijui ile Asali imegeuka shubiri au namna gani
...
Ni mapema sana kuhitimisha hivyo, kwa kuwa bado Viongozi wa Upinzani, wanajadili matukio kuliko hoja zenye maslahi mapana ya kitaifa, kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Km suala la bandari haliwezi kuendelea kuwa agenda ya kisiasa, kwenye kila jukwaa lao la kisiasa, wakati wana wanasheria nguri ambao wana uwezo mkubwa wa kulifikisha mahakamani.

Kwa jinsi Serikali iliyoko madarakani inavyonesha uwepo wa "ombwe la uongozi" (ati inaendeshwa na Wahuni na kupambwa na Chawa), ni dhahiri kuwa huo ni mtaji wa kisiasa kwa upinzani kuingia Ikulu. Je, itawezekana Upinzani kufanya hivyo kwa hoja za matukio? La, hasha. Watanzania wa leo sio wa jana kwani ufahamu ni mkubwa sana.

Upinzani, baada ya kuruhusiwa kufanya siasa za majukwaani, viongozi wake waoneshe, kwa kauli na vitendo, kuwa Sera za Vyama vyao ni bora kuliko za Chama Tawala na si vinginevyo. Waoneshe, kwa kauli na vitendo, kuwa Viongozi wao ni Waadilifu, Wanyofu na Wazalendo kuliko wa Chama Tawala, na si vingenevyo.
 
Ni mapema sana kuhitimisha hivyo, kwa kuwa bado Viongozi wa Upinzani, wanajadili matukio kuliko hoja zenye maslahi mapana ya kitaifa, kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Km suala la bandari haliwezi kuendelea kuwa agenda ya kisiasa, kwenye kila jukwaa lao la kisiasa, wakati wana wanasheria nguri ambao wana uwezo mkubwa wa kulifikisha mahakamani.

Kwa jinsi Serikali iliyoko madarakani inavyonesha uwepo wa "ombwe la uongozi" (ati inaendeshwa na Wahuni na kupambwa na Chawa), ni dhahiri kuwa huo ni mtaji wa kisiasa kwa upinzani kuingia Ikulu. Je, itawezekana Upinzani kufanya hivyo kwa hoja za matukio? La, hasha. Watanzania wa leo sio wa jana kwani ufahamu ni mkubwa sana.

Upinzani, baada ya kuruhusiwa kufanya siasa za majukwaani, viongozi wake waoneshe, kwa kauli na vitendo, kuwa Sera za Vyama vyao ni bora kuliko za Chama Tawala na si vinginevyo. Waoneshe, kwa kauli na vitendo, kuwa Viongozi wao ni Waadilifu, Wanyofu na Wazalendo kuliko wa Chama Tawala, na si vingenevyo.
Ccm ni chaka la wahuni no wezi wa rasilimali zetu
 
Umejua kucheza na upepo kweli.

Mtu mgeni anaweza asikujue vizuri maana huyo unayesema alikosea ulikuwa kutwa unammwagia sifa hata asizostahili.

Vipi hawa ndugu zako kina Kawe Alumni, Bia Yetu , Jane Lowassa , Muda Wote walienda wapi?
 
Umejua kucheza na upepo kweli.

Mtu mgeni anaweza asikujue vizuri maana huyo unayesema alikosea ulikuwa kutwa unammwagia sifa hata asizostahili.

Vipi hawa ndugu zako kina Kawe Alumni, Bia Yetu , Jane Lowassa , Muda Wote walienda wapi?
Kwa mwenyeji wa jf hawezi kuumiza kichwa chake kwa post za huyo mlevi wa lumumba
 
Ni mapema sana kuhitimisha hivyo, kwa kuwa bado Viongozi wa Upinzani, wanajadili matukio kuliko hoja zenye maslahi mapana ya kitaifa, kisiasa, kijamii na kiuchumi.

Km suala la bandari haliwezi kuendelea kuwa agenda ya kisiasa, kwenye kila jukwaa lao la kisiasa, wakati wana wanasheria nguri ambao wana uwezo mkubwa wa kulifikisha mahakamani.

Kwa jinsi Serikali iliyoko madarakani inavyonesha uwepo wa "ombwe la uongozi" (ati inaendeshwa na Wahuni na kupambwa na Chawa), ni dhahiri kuwa huo ni mtaji wa kisiasa kwa upinzani kuingia Ikulu. Je, itawezekana Upinzani kufanya hivyo kwa hoja za matukio? La, hasha. Watanzania wa leo sio wa jana kwani ufahamu ni mkubwa sana.

Upinzani, baada ya kuruhusiwa kufanya siasa za majukwaani, viongozi wake waoneshe, kwa kauli na vitendo, kuwa Sera za Vyama vyao ni bora kuliko za Chama Tawala na si vinginevyo. Waoneshe, kwa kauli na vitendo, kuwa Viongozi wao ni Waadilifu, Wanyofu na Wazalendo kuliko wa Chama Tawala, na si vingenevyo.
Siasa ni mchuzi ulio ungwa kwa viungo vya matukio, mwenendo, mazingira na nyakati.
 
Back
Top Bottom