CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Nani kasema hii nchi ni ya wavuta bangi? tumesema CHADEMA ndio ya wavuta bangi.
Tuombe radhi sisi mashabiki wa CHADEMA, take care of what comes from youre mouth.Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! ! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
mi nakushauri ungetumia lugha ya kiswahili, naona hapo hujaandika ila umehara kizungu.tolowiski like ur name, u sound shit bra, that's isn't sound of a man, ur real an assho.... in front of me people like u gat a soap to wash ur mind up.
halla fellows who are really revOLUTIONISTS lets don give a damn, tomorrow 'l be tz pliiz people lik omar wanna mate u. CDM ya everywhere hope for tanzanian
Mshkaji wa mbele mwenye shati jekundu lazima yuko stimuBasi nchi hii sote tunavuta bangi.......ila sijui mvuta bangi anajulikana vipi.....hebu waanagalieni hawa na mniambie yupi mvuta bangi
Kwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
hawa wavuta bangi ni watanzania kama wewe na wana haki zote za msingi ni aibu kuanza kubaguana kwa misingi ya uwezo kws maana hao unaowaita wavuta bangi ni zao la mgawanyo duni wa rasilimali.za taifaKwenye kundi la watu wanaohudhuria mikutano mikutano ya chadema siwezi nikaita ni umma! Sababu ni kwamba hakuna uwiano sawa wa makundi ya jamii kama wanawake,wazee,vijana,walemavu etc! Ninaowaona kwenye mikutano ya chadema wengi ni vijana,tena ni wale vijana jobles and mapepe flan yaani wazee wa kulanduka! I can say chadema sio chama cha nguvu ya umma bali ni nguvu ya wavuta bange,si mnaona chadema inavyopendwa arusha,KITU CHA ARUSHA BALAA WOTE TWAKISIKIA! BORA MKUTANO WANGU UHUDHURIWE NA WENYE BUSARA 10 TU KULIKO WAVUTA BANGE 1000!
Unbeliavable! Tolowski what's going on dear? Hivi kweli Watanzania tumefikia hatua ya kubaguana kiasi hiki? kwamba vijana wasio na kazi sio binadamu? Katika context ya siasa za Tanzania umma unatumika kumaanisha wananchi - hususan wapiga kura. Haijawahi kutokea katika historia ya nchi yeyote (Tanzania included) kwamba kati ya wapiga kura kuna nyani, tumbili, kuku na the likes. Ni umma, kwa maana ya binadamu -raia wa mahali husika mwenye kutimiza masharti ndio anapiga kura.
Sasa, kama Arusha ina vijana wavuta bangi ambao kwa tasfiri yako si umma (si binadamu) kwa nini Batilda alikuwa anagombea kiti cha ubunge Arusha? Kwa nini ccm walimwaga hela ili mgembea wao achaguliwe? Yule meya wa kuchonga anaongoza sungura? Ni kitu gani hasa kimesababisha hawa vijana wakavuta bangi? Na kwa nini vijana hawana kazi? Naomba nikukumbushe, hakuna mzazi anatamani mtoto wake akiwa mkubwa awe mvuta bangi, muuza machungwa barabarani, muokota chupa, msukuma mkokoteni au hata muuza viberiti ubungo mataa.
Ni utawala mbovu ndio unawataka kuwapeleka kuzimu na ndio maana 'kwa ujasiri na ubunifu' wa kujitafitia ajira basi wanafanya hivyo. Inawezekana kabisa kwa kuuza viberiti hawa vijana hawatakaa wapate hela za kutosha na kujenga makazi yao karibu na wewe huko masaki au karibu na ile nyumba yako uliyompangisha 'mzungu' Oysterbay! Ila wanalipa bill zao kwa jasho lao tena jasho zito! the fact that you wrote this gabbage says more about you that it says about vijana wa Tanzania. You should be ashamed of yourself and on behalf of your parents I sincerely apoligise to all Tanzanian vijana for bringing into this planet such a useless cow!
ni aibu mtu kama tolowisky ni kupigwa mawe mpaka afeKwa hoja aliyotoa jamaa sijui kama atailewa shule uliyompa nasema siamini