Ni juhudi gani zifanyike, ili kumzuia Makonda asiendelee kumdhalilisha Mwenyekiti Mbowe kupitia mikutano ya kisiasa?

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Sep 9, 2020
6,860
12,293
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.
Screenshot_20231112-071835.png


Ni hivi ndugu zangu, kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.
images (4).jpeg

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.
images (5).jpeg

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.


Ni hivi ndugu zangu.., kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Ni Kweli kabisa, konda anajijenga binafsi,

Hamsafishi mkt wake Bali Yeye binafsi.

Mkt atetewe Kwa nguvu kubwa.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.


Ni hivi ndugu zangu.., kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Ni vizuri kukaa kimya kulinda heshima ndogo uliyobaki nayo.acha uzuzu,huyo makonda anasemaje kuhusu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi??
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.


Ni hivi ndugu zangu.., kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Ni juhudi za Mama mwenyewe!
 
Mwamba kaona bora asimamishe mikutano tu, kuliko kupoteza pesa kuandaa mikutano ambayo itakosa wahudhuriaji.

Watanzania wakishamkataa mtu humkataa mazima 🤣🤣
Huoni Lissu katua, ni mkakati tu kuacha harufu ya kijana mchafu ipite.

Kijana Hana ADABU, anataka kuwa juu ya yote, hakitangazi chama Wala kumsafisha mkt, anatafuta sifa binafsi.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu,

Hakika kuna mambo ambayo yanaendelea katika faifa letu. Mambo ambayo yanadhalilisha, yanaumiza na kumvunjia heshima mtu ambae alikuwa anaonekana ana hadhi ya juu kichama, na kisiasa.

Kwa vile huyu anaedhalilishwa na kuvunjiwa heshima hana uwezo, wala ujanja wa kujitetea, acha basi sisi wengine tuje kutafuta watu ambao wataingia kazini kumtetea kiongozi huyo mkubwa wa kisiasa nchini.


Ni hivi ndugu zangu.., kabla ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Christian Makonda kuchaguliwa kushika nafasi hiyo, kulikuwa na mikutano fulani ya hadhara iliyokuwa inafanywa na mwenyekiti wa Chadema taifa ndugu Freeman Mbowe.

Mikutano hiyo ilipewa jina la operation nini sijui, na ilitangazwa sana na chawa wake mwaminifu ambae sina haja ya kumtaja. Japo mikutano hiyo ilifanyika viwanjani na mitandaoni, lakini haikuonekana kuwashawishi watu wengi kuifatilia, na badala yake mwenyekiti alikuwa akijikuta anakusanya watoto wadogo na baadhi ya wanachama wake waliokosa shughuli za kufanya.

Kwa kutambua hali hiyo ilibidi mwenyekiti aongeze juhudi za kufanya mikutano yake kwa njia ya chopa, ili kuwavuta watoto na wale ambao walikuwa wanakwenda kushangaa chombo hicho cha mzungu kinavyoshuka, na kupaa angani bila kushikiliwa na kitu chochote chini.

Mikutano hiyo ya mwenyekiti ilikoma ghafla baada ya katibu mwenezi wa CCM ndugu Paul Makonda kuapishwa na kuapa kula sahani moja na mwenyekiti huyo wa chama kikuu cha upinzani nchini.

Ikumbukwe kuwa raisi Samia na Makonda waliahidi kumsaidia mwenyekiti huyo kwa hali na mali ili aweze kutimiza malengo yake ya mikutano, ila kwa ahadi ya kula nae sahani moja. Akimaanisha kwamba kila atapofika Mbowe, na yeye (Makonda) atatia mguu kusafisha uchafu utakaokuwa umeachwa na Mbowe alaf wawaachie wanachi wenyewe wachague pumba na mchele.

Sasa inasikitisha kuona Mbowe amefyata, na kuogopa kuendelea na mikutano kwa visingizio visivyokuwa na maana. Mara adai anasubiri vibali vya mamlaka ya hali ya hewa, mara mvua zinanyesha kana kwamba yeye maisha yake yote hutembelea chopa tu, hawezi kutumia gari kama wenzake kina Lisu, Makonda nk.

Mikutano miwili mitatu ya Makonda imeshamvunja nguvu mwenyekiti hadi kuamua kumsubiri Lisu arudi wapambane na mtu mmoja, je hiyo 2024 na 2025, si hali itakuwa mbaya kama pale mwembe yanga au mbagala!
Chawa wake yule Erythrocyte anasemaje?
 
Back
Top Bottom