Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,330
- 33,957
Naona kimeibuka kikundi cha watu wanaolalamika kuwa mikutano ya CHADEMA inawapotezea watu muda wa kufanya kazi.
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?
Wapo wengine wanasema hiyo mikutano haina tija na ni upotevu wa hela za wananchi.
Lakini kuna mtu analazimishwa kwenda kwenye mikutano ya CHADEMA bila ya hiyari yake?