Eti ukifanya hili imekula kwako!

Eti ukifanya hili imekula kwako!

1. Ukimsomesha Mchumba wako(Mwanamke), huta muoa. Akifika Chuo kikuu anachagua Mwanamme Mwingine.

2. Hata ukimsomesha Mkeo, akipata elimu atakufanyia vituko muacheni atafute Mume Mwengine.

3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.
Absolutely true
 
3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.

Kwanini?

Kwanza namuunga mkono mzabzab. Pili ukioa Mwanamke aliesomeshwa na Wazazi wake, hazuzuki sana na wanaume hata ukimuendeleza kielemu. Pia hutapata hasara kubwa wala kujuta atakapo ondoka na Mchepuko.
 
Kabla hujaamua kumsomesha chuo kikuu hakikisha anakuzalia mtoto kwanza ili hata akipindua baadae,gharama ulizotumia na elimu aloipata itakua ni msaada Kwa huyo mwanenu.

Mkuu unaona mbali kweli, naomba nikupe shikamoo yako,,kula LIKE
 
Hakika ndugu zanguni hawa viumbe wenzetu hawatabiriki hata kidogo. Kwamwe usije ukainvest katika brain zao, Kama unadhani tunatania jaribu uone.
 
kusomesha ni kujifungia kimawazo(sababu ya i love u au kulishwa mtandao pendwa) ukiiacha akili yako kuwa huru utawaona ambao walio someshwa tayari
 
1. Ukimsomesha Mchumba wako(Mwanamke), huta muoa. Akifika Chuo kikuu anachagua Mwanamme Mwingine.

2. Hata ukimsomesha Mkeo, akipata elimu atakufanyia vituko muacheni atafute Mume Mwengine.

3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.

Contradiction tupu.
Mbona umesema "wanaume wengine" sasa!
Kwani huyo 'mwanaume mwingine' hawezi kuwa mimi?!
 
1. Ukimsomesha Mchumba wako(Mwanamke), huta muoa. Akifika Chuo kikuu anachagua Mwanamme Mwingine.

2. Hata ukimsomesha Mkeo, akipata elimu atakufanyia vituko muacheni atafute Mume Mwengine.

3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.

Tena akiwa wa ile njia ya kupitia MOMBO ........ HATARIIIIIII
 
1. Ukimsomesha Mchumba wako(Mwanamke), huta muoa. Akifika Chuo kikuu anachagua Mwanamme Mwingine.

2. Hata ukimsomesha Mkeo, akipata elimu atakufanyia vituko muacheni atafute Mume Mwengine.

3. Ukitaka kuoa Mwanamke msomi, Oa mwanamke alie someshwa na Wazazi wake.
Yani hapo sitii neno, kuna msanii mmoja aliyaona hayo!

Artist: Freshly Mwamburi
Song: Stella Wangu

nilikuwa na mchumba wangu
tulipendana kama nyama choma
alibahatika kwenda ng'ambo
chuo kikuu kwenda kusoma
miaka mitatu kule Japani
kusomea udaktari
Stella wangu eeh

nilivyompenda Stella jamani
nikajitolea kwa roho moja
nikauza shamba langu
sababu yake yeye
nikauza gari langu
sababu yake yeye
nikauza ng'ombe na mbuzi
sababu yake yeye
ili apate nauli
na pesa zingine za matumizi
huko Japani

ilikuwa tarehe kumi na saba
mwezi wa tano
ilikuwa tarehe kumi na saba
mwezi wa tano
mwaka elfu moja tisa mia
tisaini na mbili
ndio ilikuwa tarehe kamili
ya Stella kurudi Kenya
nilikwenda uwanja wa ndege
ndio kumlaki Stella
nilikuwa na Uncle Kilinda
kwa uwanja wa ndege
nilikuwa na Basilima Mulomba
na mkewe na mtoto wake
nilikuwa na Uncle Mjomba
mtoto wa Mombasa

ghafla ndege ilipotua tuliona vituko
Stella alishuka amebeba
mtoto mikononi
nyuma yake mchumba wake mfupi
futi nne Mjapani
nilisikitika ndani ya moyo
nikakosa la kufanya
nilitamani nilie kikamba
lakini sikijui
ilinibidi nilie kijaluo
amatima ngoa choa
Freshly

nilitamani nilie kihindi
lakini sikijui
ilinibidi nilie kitaita
lugha ya baba na mama
ilinibidi nilie kitaita
iki mwana niponye vala
Freshly
...
 
Kabla hujaamua kumsomesha chuo kikuu hakikisha anakuzalia mtoto kwanza ili hata akipindua baadae,gharama ulizotumia na elimu aloipata itakua ni msaada Kwa huyo mwanenu.
We kweli doctor yn mwme kweli akili you got great thinking big up and respect...Kama unakumbuka kuna bnt Wa Ifakara alinyongwa Na mshkaj baada yakusalitiwa dakika za mwsho za elimu Yao Na mahusiano.respect kjana.
 
n viceversa is true... ukijitolea kumsesha mwanaume ama kumsaidia kupata kazi jua imekula kwako...
tafakari chukua hatua wanawake wenzangu wanaume ni maselfish sana!!!
 
wanaume wengi wamelizwa na hawa mabinti waliowasomesha....
LABDA UENDE MWENDO WA....Tenda Wema, Nenda zako..
 
Acha kututisha mkuu..tunasomesha na kuoa tutaoa
 
Kusomesha sikushauri, ukisha msomesha unachukua jukumu la mzazi, yeye atakuona wew mzazi ataenda kutft mpenzi, ht kudharau atakueshim ila km mzazi co mpenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom