Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,659
- 4,632
Juzi mbona alikuwepo bondeniShemeji hajaonekana hadharani ingawa watu wa propaganda wana post video zake za zamani
Mwenye tako kubwa kawa mpole kweli baada ya kuchambwa kwa kupulizia vumbi vituo mbali mbali
Kuna yule mzee mwenye kipara alimpiga risasi lissu, je na yeye ana roho kama hiyo?Una roho ya kishwaitwan wewe jamaa,utafikili wewe uko sayari ya saba,laannatullah
Sent using Jamii Forums mobile app
.Ety Mpuliza vumbi la korona na kuchambwa,ety ni kweli haonekani huko mjin
Funguka unaficha nini?
Hao wanajuana, ni mtu asiyeeleweka na babaeMwenye tako kubwa kawa mpole kweli baada ya kuchambwa kwa kupulizia vumbi vituo mbali mbali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtu ukisema tuu ni Adam Mchomvu Kuna shida? Codes coded
Ooh ahsanteHii code mbona ndio nyepesi zaidi!!
Haya ni KA(gemu(mechi))
(gemu)
Iandike kiinglish.
Wameshafungua mwenza natumaini umeona. Huo uwifi vepee
Maanake tumepoteza watu muhimu kama mzaha ndani ya siku chacheHivi Tanzania tuna ventilator ngapi za VIPs?