Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,621
- 46,267
Naona kwenye vyombo vya habari jitihada mbalimbali za kupambana na Kipindupindu ikiwemo watu kufagia mitaa, hayo ni mambo mazuri ila ni vyema kufahamu Kipindupindu ni ugonjwa unaohusu kula na kunywa.
Jitihada kubwa zilipaswa kuelekezwa kufundisha watu kunawa mikono kwa usahihi, kuhakikisha watu wanavyo na wanatumia vyoo bora kujisaidia, kufanya usafi vyooni, kuhakikisha maeneo yana mifumo bora ya majitaka, kugawa ndoo za maji za kunawa ambazo watu hawahitaji kushika koki kufungua maji n.k
Ni vihoja kuhona watu wazima wanafagia barabara au mitaa kupambana na Kipindipindu ugonjwa unaokaribiana na Corona katika namna ya maambukizi.
Jitihada kubwa zilipaswa kuelekezwa kufundisha watu kunawa mikono kwa usahihi, kuhakikisha watu wanavyo na wanatumia vyoo bora kujisaidia, kufanya usafi vyooni, kuhakikisha maeneo yana mifumo bora ya majitaka, kugawa ndoo za maji za kunawa ambazo watu hawahitaji kushika koki kufungua maji n.k
Ni vihoja kuhona watu wazima wanafagia barabara au mitaa kupambana na Kipindipindu ugonjwa unaokaribiana na Corona katika namna ya maambukizi.