Mwanakili90
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,568
- 245
<br />TIGO bana
<br />ukweli ni upi?<br />
Wachumi wapo wapi?<br />
Wana TRA humu wapo wapi?
<br />Salaam,<br />
Natumaini wana jamii ni wazima wa afya,kwangu mimi ni mzima na buheri wa afya.<br />
Eti huo usemi hapo juu ni wakweli?<br />
Kama nikweli inamana wanawateja wengi kuliko kampuni za simu zote hapa nchini.<br />
Lakini jambo lililonisukuma niandike posti hii ni kuwa,kama wanaongoza basi wangeongoza na kulipa Kodi,na Wangekuwa wanaongoza kwenye kuchangia pato la taifa kuliko air tel.<br />
Sasa tujiulize ni mtandao unao ongoza kwa kipi nchini Tanzania??