Eti Kulala Pamoja si Afya! kwa wana NDOA

ntapigaje chabo za vichochoroni wakati mechi inaweza kuandaliwa chumbani kwetu tukajipiga chabo wenyewe?;)

Hahaha! Umenikumbusha jamaa yangu kaweka mkioo mkuuuubwa kwenye kuta za chumba chake. Wakati ana-do anajipiga chabo mwenyewe. Lol!
 
Nakubaliana na utafiti huu,kulala pamoja wanandoa si sahihi.viwepo vitanda 2 chumbani.Mnalala pamoja mnapohitajiana kimwili.
kwanza italeta heshima na pili kila mtu ata m-miss mwenzie.
 
Nakubaliana na utafiti huu,kulala pamoja wanandoa si sahihi.viwepo vitanda 2 chumbani.Mnalala pamoja mnapohitajiana kimwili.
kwanza italeta heshima na pili kila mtu ata m-miss mwenzie.

Kitanda changu kitakuwa kibovu SIKU ZOTE! Lol! Nani amwache laaziz wake alale kitanda cha peke yake? Likija popobawa? Say you were just jokin my love. Unajua hiyo kauli yako imenistua, usije ukawa serious! Ohooo!
 
jana nilikuwa tait kiduchu!leo pia lakini nitajaribu kuibia ka muda kidogo!kuna mtu nasikia alinitukana sana.sasa tangu jana usiku naitafuta hiyo post siioni!unaweza ukawa unaikumbuka?

heheee, mkuu ndo umekuja na silaha za maangamizi au?
nimeku-PM
 
Mi nafikiri hii tafiti ina wavutia na ni Nzuri kwa wanaume tu!!-
Nina amini ni tafiti yenye kero kwa Wanawake-wanawake wana penda kulala na wanaume sana!! wana jibinua binua yaani taabu kweli -kweli-!!...Mi nafikiri huu utaratibu lazima ni uanzishe nyumbani kwangu!!
 
Nakubaliana na utafiti huu,kulala pamoja wanandoa si sahihi.viwepo vitanda 2 chumbani.Mnalala pamoja mnapohitajiana kimwili.
kwanza italeta heshima na pili kila mtu ata m-miss mwenzie.

heshima ipi unayoiongelea hapo ZD?
 
Mi nafikiri hii tafiti ina wavutia na ni Nzuri kwa wanaume tu!!-
Nina amini ni tafiti yenye kero kwa Wanawake-wanawake wana penda kulala na wanaume sana!! wana jibinua binua yaani taabu kweli -kweli-!!...Mi nafikiri huu utaratibu lazima ni uanzishe nyumbani kwangu!!


ningekuwa mkeo tungekorofishania hapo, mie kulala na mr ndio raha yangu na kujibinua kichwa kule miguu huku ndio zangu....
 
mi nafikiri hii tafiti ina wavutia na ni nzuri kwa wanaume tu!!-
nina amini ni tafiti yenye kero kwa wanawake-wanawake wana penda kulala na wanaume sana!! Wana jibinua binua yaani taabu kweli -kweli-!!...mi nafikiri huu utaratibu lazima ni uanzishe nyumbani kwangu!!


humpendi mkeo unadhihirisha hapa anakusumbua? Mkeo kazi anayo mimi natamani hata anilalie kila dakikia.
 
Yaani Mke wangu aku lalie?

(((((((((((what?))))))))))


Soryy mzee niliandika kwa spd na standard nikakosea nasema hivi natamani mke WANG MIMI NGULI anilalie kila dakika hata ninavyoandika huu ujumbe.
 
Si afya kama wote watakuwa hawafuati kanuni za usafi, hasa kwamikoa yenye joto kali kam dar,mtwara na tanga hali ni mbaya zaidi
 
Kwanza tunaomba source ya huo utafiti

Pili ninavyoelewa mimi mwana sociology huwa anategemea mambo ya kusimuliwa na si utafiti wa kisayansi? kwa maana hiyo huyo dr wako hana authority ya kuongelea maswala ya kisayansi tena yanayohitaji research ya muda mrefu.

Ninavyojua mimi, zamani wazee wetu walikuwa hawalali na wake zao kwa sababu walikuwa na wake kibao, wanawake huyo walikuwa wanapanga msululu kufuata huduma kwa zamu kila mtu na siku yake.

zaidi ya hapo tanzania hatujawahi kuwa na industrial revolution kwa maana hiyo tungekuwa tunawaona watu wa vijijini hawalali na wake zao.

pila mwulize huyo dr wako kuwa kati ya watu walioko kwenye ndoa na waseja ni akina nani wanaongoza kwa kuishi muda mrefu?
 
mtu akikuzoea sana inakuwa tabu,mkishaanza mambo ya kukoromeana na kujambiana,basi kwa sisi waafrika ni tabu.


mkilala vitanda tofauti hamyackii hayo?...mazoea yaanzia pale unapoingia ndani pa1 kama mume na mke, na hayakwepeki kabisa, mtazoea tu kwa namna moja au nyingine....
 
mkilala vitanda tofauti hamyackii hayo?...mazoea yaanzia pale unapoingia ndani pa1 kama mume na mke, na hayakwepeki kabisa, mtazoea tu kwa namna moja au nyingine....

HALLA BAIBE!
mapenzi ni zaidi ya hichi kinachojadiliwa kwenye hii post.
 
Kulala pamoja watu wawili wa jinsia tofauti ni raha jamani khaaa!!Hizi tafiti nazo zinataka kutibua tu.
..Hakuna raha yoyote na hili joto la mjini hapa mh!! inatakiwa kikao kikimalizika kila mtu alale kwenye kitanda chake....
 
Lakini ni kweli mtupu sometimes kulala vitanda tofauti it works.!
nimeishaijarib hii mara nyingi tu uchovu huwa unanipotea tofauti ukilala na mwenzio mara mateke mguu akupandishie kichwani,mara akorome,mara aahgghhh yaani sometimes tafrani tupu,labda nyote muwe si walalavibaya,hapo mtafaidika kwa kulala pamoja.
 
Back
Top Bottom