bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Jamaa mmoja amesikika akilalamika kwa mwenzie kwenye kijiwe
kimoja cha kahawa, mitaa ya Livingstone, Kariakoo..............
Eti mkewe kachukia kweli, kisa kwanini hajaweza kuikumbuka namba ya mkewe kichwani,
mpaka aangalie kwenye simu?
mbona mkewe anaikumbuka namba ya simu yake kwa kuitaja hata akiwa usingizini?
akazidi kusema kuwa basi mkewe ameconclude kuwa hapendwi, kama tu mmewe anashindwa kukumbuka,
vitu vidogo tu hivyo, je hayo makubwa ataweza vipi?
MIE NILIPOMALIZA KUNYWA KAHAWA YANGU NIKAJIONDOKEA LAKINI SIJUI WALIFIKIA CONCLUSION IPI?
SASA NIMEBAKI NAJIULIZA, NA NIKAPENDA KUILETA KWENU ILI TUSHIRIKIANE KUICHAMBUA HOJA YA MSHIKAJI.................
Hivi kumbe hawa dada zetu inakuwa issue sana usipoweza kuikumbuka namba ya simu kichwani?
hivi inaweza kuwa ni sababu mojawapo ya kuonyesha kuwa humjali mwenzio?
MBARIKIWE NYOTE WAPENDWA
TUMSIFU BWANA...................................
kimoja cha kahawa, mitaa ya Livingstone, Kariakoo..............
Eti mkewe kachukia kweli, kisa kwanini hajaweza kuikumbuka namba ya mkewe kichwani,
mpaka aangalie kwenye simu?
mbona mkewe anaikumbuka namba ya simu yake kwa kuitaja hata akiwa usingizini?
akazidi kusema kuwa basi mkewe ameconclude kuwa hapendwi, kama tu mmewe anashindwa kukumbuka,
vitu vidogo tu hivyo, je hayo makubwa ataweza vipi?
MIE NILIPOMALIZA KUNYWA KAHAWA YANGU NIKAJIONDOKEA LAKINI SIJUI WALIFIKIA CONCLUSION IPI?
SASA NIMEBAKI NAJIULIZA, NA NIKAPENDA KUILETA KWENU ILI TUSHIRIKIANE KUICHAMBUA HOJA YA MSHIKAJI.................
Hivi kumbe hawa dada zetu inakuwa issue sana usipoweza kuikumbuka namba ya simu kichwani?
hivi inaweza kuwa ni sababu mojawapo ya kuonyesha kuwa humjali mwenzio?
MBARIKIWE NYOTE WAPENDWA
TUMSIFU BWANA...................................