Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Hizi ni hesabu za shule ya msingi....
Wengi wanaamini hilo
Discuss
JF=(wenye uchungu na nchi+wanaoiombea mema Tanzania)-Samvula chole
asalaaaaaaaaaam Aleykum,
TUMSIFU YESU KRISTO
haya mawili yanakuonyesha jinsi ulivyo,yaani unapenda kuchanganya mambo. Rangi zimeumbwa na mungu wala hazihusiani na chama chochote. wakati fulani Michael Jackson alifika hapa Bongo akiwa amevalia shati la kijani na surali nyeusi, alikuwa ni CCM?
Mbona mimi naona pia rangi za kijani zipo kwa wingi? Kwa hiyo no. 1, ondoa. La pili kuhusu msimamo, hivi akina Mama kilango, Sendeka et al amabo wanapinga ufisadi nao ni chadema?
Kuhusu nyaraka nafikiri huwezi kujenga hoja bila data. Hiyo sentensi ya mwisho sijui ulitaka kuigiza au ulitaka nini maana hapa si mahala pake.
you have missed a home train!Mh. ""Michael Jackson ni CCM?""[/B]
Na hoja zinazotolewa nazo zina rangi?
Na hoja zinazotolewa nazo zina rangi?
nimekusoma mkuu,,, lakini swala la mama kilango linafahamika kwa nini anakua na msimamo wa vile......
umeanza sasa,,,,, pita vizuri bwana,,,zina randi ndio...
you have missed a home train!