Samvulachole
JF-Expert Member
- Oct 22, 2006
- 413
- 117
Wengi wanaamini hilo
Discuss
Discuss
Wengi wanaamini hilo
Discuss
hapana,
nadhani bado tunatawaliwa na ile kasumba ya kutokukubali kukosolewa. Miaka fulani nilipokuwa naishi Zbar ukitokea kupinga muenendo mbovu wa serikali unaulizwa "Ami weye CUF nini yakhe?",
...enzi zile ukipinga unaambiwa NCCR mageuzi, na sasa nguvu ya Upinzani imehamia CHADEMA huku bara, nasi tutaitwa CHADEMA, kisa madongo!
Demokrasia kaaazi kweli kweli, jamaa wanatutega kama Bush,...
"You are either with us, or against us!",...
Kuna thread moja Mwafrika wa Kike alikuuliza kuhusu hii tabia yako ya kusema sisi hivi, sisi vile. Mbona hatuoni hao wengine wakisema? Kwenye falsafa hiyo wanaita fallacy huwezi kusemea watu ambao hawajasema ni sawa na kusema kila mtu anajua hivyo. wewe ndiye unayeamini hivyo hivyo jisemee nafsi yako badala ya kuanza kusema wengi wanaamini hivyo.Wengi wanaamini hilo
Discuss
nadhani bado tunatawaliwa na ile kasumba ya kutokukubali kukosolewa. Miaka fulani nilipokuwa naishi Zbar ukitokea kupinga muenendo mbovu wa serikali unaulizwa "Ami weye CUF nini yakhe?"
CCM wako madarakani kwahiyo wao wanapondwa mno na ni kawaida maana kama kuna makosa basi wao ndio wanafanya. Uongozi ukienda chama kingine basi mashambulizi mengi yatahamia huko.
Afterall; mimi si CHADEMA, lakini nammiss mwenyekiti wangu Augustino Lyatonga Mrema. Bado naamini ana hoja nzuri japo hajapata upenyo. Kama kachemka basi ndio hivyo tena; ndiye chaguo langu kwenye politiki za Tz
... lakini nammiss mwenyekiti wangu Augustino Lyatonga Mrema. Bado naamini ana hoja nzuri japo hajapata upenyo. Kama kachemka basi ndio hivyo tena; ndiye chaguo langu kwenye politiki za Tz
Unastahili pongezi. Endelea mkuu, ipo siku mtafanikiwa. Mchango wenu tunauona.
Ah, unanikatisha tamaa sasa wewe. Utakuwa CHADEMA tu. Nasubiri bomu lake la Wizi wa Mkapa lilipuke na asipolilipua kufikia December mwaka huu nami namtupa mkono. Rushwa ile ya Milioni 900.
JAMBOFORUM = CHADEMA + [minority CCM] + ZANZIBARIAN=CUF] + NA[Non-Alaine]
Assuming CCM+CUF is minimal or approaching to zero then. and NA is approaching to zero as well.
Then
JAMBOFORUM is approximaly/Equivalent to CHADEMA.
Followup the proof above therefore you can deduce that
JamboForum is Idara ya Uenezi ya CHADEMA complementing another daily newspaper... which is good very Innovative tactics of which ..CCM and CUF have never come tought of it...
It is therefore believed that these guys are very innovative and hence the citizens can elect them to lead the country as they will come up similar innovations like these... including making sure the mines contracts are renewed annually to make sure the country benefit from these mine contracts due to dynamic changes of different conditions which of course will always be a challenge...
It is with these facts, therefore I would like all of you to give them a big applause for their innovations
HUREE JF, HUREEE CHADEMA
Kumbe nahaya unayamudu? Ulisoma na Lowassa au Mudhihir? (just kidding)
JamboForum is Idara ya Uenezi ya CHADEMA...
Aidha, nawapongeza wote ambao huandika JF sehemu tofauti (si siasa tu) wakiwa wametanguliza maslahi ya taifa mbele. Ni uungwana sana kufanya hivyo na inapendeza pale tunapotoa mapendekezo kwa wale tunaowajadili (serikali ama taasisi na watu binafsi) juu ya nini kifanyike kuboresha kilichoharibika ama hata pongezi.
JAMBOFORUM = CHADEMA + [minority CCM] + ZANZIBARIAN=CUF] + NA[Non-Alaine]
You can't assume CCM + CUF is minimal while you have already stated boldly, CHADEMA + [minority CCM]Assuming CCM+CUF is minimal or approaching to zero then. and NA is approaching to zero as well.
Now, when you speek JF una maana gani?Then
JAMBOFORUM is approximaly/Equivalent to CHADEMA.
In short, your deduction is simply and grossly flawed even to a novice! Next time, please get some help before you come up with these things.Followup the proof above therefore you can deduce that