Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Haiingii hakilini jeshi kusimama na kumtetea meja aliyeua watoto waliokuwa wakisherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Hivi chombo kama jeshi kinaweza kuwa kinakurupuka hivi jamani, inamtetea kwanza hakijui mazingira ya tukio kwa sababu aliyekuwepo ni mtuhumiwa peke yake na hao watoto, wamewauliza watoto wengine wakasema wale walikuwa vibaka ???Hata kijana wa form six anaweza kuwa reasonable kuliko hao wanaotaka kumtetea huyu jamaaa. Ushahidi wa huyu meja ni nini? gari yake haina sehemu yoyote kuonesha kuwa waliipiga, hajachaniwa nguo, hakuna kitu chochote kuonesha kulikuwa na purukushani, sasa nini jeshi linakaa na kuanza kumytetea??? jeshi lilikuwepo kwenye tukio????
nimesikia kwenye magazeti leo asubuhi. . . .
nimesikia kwenye magazeti leo asubuhi. . . .