kuua ndio kosa kubwa zaidi duniani na mbinguni,mahakama ipelekewe kesi hii ili itafsiri sheria kama hajakosea.kwani alikua kikazi au eneo la kazi mpaka tuhitaji ufafanuzi wa jeshi?
Haiingii hakilini jeshi kusimama na kumtetea meja aliyeua watoto waliokuwa wakisherehekea sikukuu ya mwaka mpya. Hivi chombo kama jeshi kinaweza kuwa kinakurupuka hivi jamani, inamtetea kwanza hakijui mazingira ya tukio kwa sababu aliyekuwepo ni mtuhumiwa peke yake na hao watoto, wamewauliza watoto wengine wakasema wale walikuwa vibaka ???Hata kijana wa form six anaweza kuwa reasonable kuliko hao wanaotaka kumtetea huyu jamaaa. Ushahidi wa huyu meja ni nini? gari yake haina sehemu yoyote kuonesha kuwa waliipiga, hajachaniwa nguo, hakuna kitu chochote kuonesha kulikuwa na purukushani, sasa nini jeshi linakaa na kuanza kumytetea??? jeshi lilikuwepo kwenye tukio????
nimesikia kwenye magazeti leo asubuhi. . . .
nimekuelewa mkuu
Hujui ulisemalo kijana. Watu kadhaa wmeripoti kupigiwa magari yao kama sehwmu ya sherehe za mwaka mpya. Hata hivyo bado swali halijajibiwa, mtoto anakwenda kuzurura usiku wa manane kisa sherehe za mwka mpya? Kizazi cha dot com mnaokwenda na watoyo wenu baaa. Hovyo kabisa.
Hujui ulisemalo kijana. Watu kadhaa wmeripoti kupigiwa magari yao kama sehwmu ya sherehe za mwaka mpya. Hata hivyo bado swali halijajibiwa, mtoto anakwenda kuzurura usiku wa manane kisa sherehe za mwka mpya? Kizazi cha dot com mnaokwenda na watoyo wenu baaa. Hovyo kabisa.
Hiv alietoa ruhusa ya mwaka mpya kusherekewa kwa vurugu na kuleta bughudha kwa wengine ni nani??
Kwangu mimi naona mjesh alikuwa sahihi kujilinda yeye,mali zake (gari) na familia yake pia waliokuwa kwenye gari.
Ripoti za huko zinaonesha na kuthibitisha kuwa hao vijana (tena siyo watoto ,kama unavyosema) walikuwa wanafanya hizo vurugu kwa watu wengi na walileta uharibifu kwa magari mengine.
Ifike mahali tuwe tunaheshimiana.
Hii habari umeileta nusunusu kana kwamba Kila mtu anafahamu kilichotokea.
Maelezo yako yanaonyesha wewe ni muuaji mwenyewe. Back to the topic. Soma mchango namba 50 kwenye hii thread!Kichwa cha habari ulio andika kinaonesha wazi kuwa weye ndg una hasira sana. Nilidhani ni mjeshi mwingine ameamua kuua watoto wake tu halafu anatetewa.
To the point;
Hivi weye umewahi kuendesha gari mahali ambapo pana giza giza usiku halafu ukute labda mawe makubwa njiani? Unajisikiaje? Uwe unaendesha gari usiku, ghafula uvamiwe na watu pande zote mbili za gari na hata mbele na nyuma wanapigapiga gari yako, wengine wamebeba fimbo na vitu mbali mbali usivyoweza kuvitambua kwa sababu ya kelele zao. Utajisikiaje?
Simtetei huyo mjeshi. Lakini mimi nasema kama mimi, alichanganyikiwa. Hakujua nia ya hao watu. Angekuja hapa jf na kulalamikiwa kuvamiwa na kuibiwa gari na bastola yenye risasi usiku wa saa saba, weye ungekuwa wa kwanza kumdharau.
Naomba hili liwe funzo kwa wananchi wa TZ kuwa tuepuke kusherehekea kupita kiasi. Sherehe yako isiwe kero kwa wengine. Mjeshi alikuwa anapita kwenye barabara ya watu wote inayotakiwa ipite magari sio uwanja wa sherehe. Wala hakukuwa na ishara kuwa kuna sherehe huko mbele hivyo endesha taratibu.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe.
Hao wenye sherehe zao walizidisha kipimo yaani walivuka mpaka. Waliposikia hiyo risasi ya kwanza ilitosha kuwa alert kuwa huyu mtu ni kichaa wakimbie lakini wakazidi kushangilia kwa kuivamia gari. Akaongeza mzigo..
Mimi si wakili lakini nawasilisha
Maelezo yako yanaonyesha wewe ni muuaji mwenyewe. Back to the topic. Soma mchango namba 50 kwenye hii thread!
Sina haja ya kujibizana ila nakuambia, ni rahisi saana weye kumsema vibaya huyu mjeshi kwani hujawahi kujikuta kwenye kitu kama hicho. Tembea uone. Nielewe, nilisema simtetei mjeshi bali nasema Watz tubadilike, tuwafundishe hata watoto wetu kukimbia wakisikia ajali au mlipuko.
Si umeona pale ubungo juzi. Kitu kimeonekana kama bomu, watu wazima na akili zao, wanaona polisi wenyewe wanakichukua kwa uangalifu na mtetemo wao wako macho kodo. Lingekuwa bomu kweli leo tumgekuwa tunahesabu watu wasiopungua 20 wapoteza maisha kwa kulipukiwa na bomu.
Weye ungekuja hapa jf kuilaumu serekali.
Ninayesema nawe tulimzikaga jirani yetu; alipigwa risasi na majambazi, kisa, katoka nje kuangalia risasi zinavyolia kwa jirani huku hana hata kisu cha mkate. Tanzanians ni noooma.
Haiingi akilini, weye mzazi mwanao yuko nje saa saba usiku ati anashangilia mwaka. Hayo ndiyo malezi au bora malezi. Lawama umpe paka kwa kula kipanya wapi na wapi.
Kwa hiyo uliua wa kwanza ukaona bado wanaendelea ukaongeza wa pili.?Kichwa cha habari ulio andika kinaonesha wazi kuwa weye ndg una hasira sana. Nilidhani ni mjeshi mwingine ameamua kuua watoto wake tu halafu anatetewa.
To the point;
Hivi weye umewahi kuendesha gari mahali ambapo pana giza giza usiku halafu ukute labda mawe makubwa njiani? Unajisikiaje? Uwe unaendesha gari usiku, ghafula uvamiwe na watu pande zote mbili za gari na hata mbele na nyuma wanapigapiga gari yako, wengine wamebeba fimbo na vitu mbali mbali usivyoweza kuvitambua kwa sababu ya kelele zao. Utajisikiaje?
Simtetei huyo mjeshi. Lakini mimi nasema kama mimi, alichanganyikiwa. Hakujua nia ya hao watu. Angekuja hapa jf na kulalamikiwa kuvamiwa na kuibiwa gari na bastola yenye risasi usiku wa saa saba, weye ungekuwa wa kwanza kumdharau.
Naomba hili liwe funzo kwa wananchi wa TZ kuwa tuepuke kusherehekea kupita kiasi. Sherehe yako isiwe kero kwa wengine. Mjeshi alikuwa anapita kwenye barabara ya watu wote inayotakiwa ipite magari sio uwanja wa sherehe. Wala hakukuwa na ishara kuwa kuna sherehe huko mbele hivyo endesha taratibu.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe.
Hao wenye sherehe zao walizidisha kipimo yaani walivuka mpaka. Waliposikia hiyo risasi ya kwanza ilitosha kuwa alert kuwa huyu mtu ni kichaa wakimbie lakini wakazidi kushangilia kwa kuivamia gari. Akaongeza mzigo..
Mimi si wakili lakini nawasilisha
Sina haja ya kujibizana ila nakuambia, ni rahisi saana weye kumsema vibaya huyu mjeshi kwani hujawahi kujikuta kwenye kitu kama hicho. Tembea uone. Nielewe, nilisema simtetei mjeshi bali nasema Watz tubadilike, tuwafundishe hata watoto wetu kukimbia wakisikia ajali au mlipuko.
Si umeona pale ubungo juzi. Kitu kimeonekana kama bomu, watu wazima na akili zao, wanaona polisi wenyewe wanakichukua kwa uangalifu na mtetemo wao wako macho kodo. Lingekuwa bomu kweli leo tumgekuwa tunahesabu watu wasiopungua 20 wapoteza maisha kwa kulipukiwa na bomu.
Weye ungekuja hapa jf kuilaumu serekali.
Ninayesema nawe tulimzikaga jirani yetu; alipigwa risasi na majambazi, kisa, katoka nje kuangalia risasi zinavyolia kwa jirani huku hana hata kisu cha mkate. Tanzanians ni noooma.
Haiingi akilini, weye mzazi mwanao yuko nje saa saba usiku ati anashangilia mwaka. Hayo ndiyo malezi au bora malezi. Lawama umpe paka kwa kula kipanya wapi na wapi.
Wewe ndio unakurupuka. Habari hii iliripotiwa mapema zaidi humu jf na wadau wengi walipata balanced story. Sipendi kurudia hasa kwa vile wewe unaongozwa na emotions. Wewe mtu akitaka kukubaka utatulia amalize ili upate ushahidi? Lakini kitu ninachojiuliza, hawa watoto walikuwa,wanafanya nini barabarani saa saba usiku? Hivi wana wazazi hawa?
Kwa hiyo uliua wa kwanza ukaona bado wanaendelea ukaongeza wa pili.?