Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,397
- 3,492
Kwasasa habari ya mjini ni Mwamba wa Lusaka, ambaye masaa machache yajayo atatangazwa kuwa amesinya mkataba ndani ya klabu ya Yanga, hivyo ukiwa kama mdau wa michezo na mwanayanga unafikiri Chama tumoe jezi namba ngapi jamani?
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake
NB
Kila mbuzi ale urefu wa kamba yake