Eti hii si shida kwa maisha ya kila siku?

Unique Flower

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
12,714
24,891
Mwanaume ni tallest na mwanamke ni shortest kwa hali ya kawaida hivi wataishi kwa furaha au watu watawashangaa kila daily? Pimbi na Zena .🤣🤣🤣🤣 nipo serious .

Unakuta umefall in love na kitu kirefu nisaidieni kimawazo siitaji mzahaa nataka kupata jibu ni muhimu kwenu mkiwa serious.
 
images - 2024-03-11T165901.280.jpeg
 
Mwanaume ni tallest na mwanamke ni shortest kwa hali ya kawaida hivi wataishi kwa furaha au watu watawashangaa kila daily ?? Pimbi na Zena . nipo serious .

Unakuta umefall in love na kitu kirefu nisaidieni kimawazo siitaji mzahaa nataka kupata jibu ni muhimu kwenu mkiwa serious.
Urefu upi mmojawapo rafiki.. Kwakuwa hata kiber100 Kina kinyume chake
 
Mwanaume ni tallest na mwanamke ni shortest kwa hali ya kawaida hivi wataishi kwa furaha au watu watawashangaa kila daily ?? Pimbi na Zena . nipo serious .

Unakuta umefall in love na kitu kirefu nisaidieni kimawazo siitaji mzahaa nataka kupata jibu ni muhimu kwenu mkiwa serious.
Urefu upi mmojawapo rafiki.. Kwakuwa hata kiber100 Kina kinyume chake
 
Kwa Kawaida:

1. Mwanaume inabidi awe mrefu kuliko mwanamke.

2. Mwanamke inabidi awe mweupe kuliko mwanaume.

3. Mwanamke inapendeza akiwa ana kamwili zaidi kuliko mwanaume.

4. Mwanaume inabidi awe amesoma zaidi kuliko mwanamke.

5. Mwanaume inabidi awe na kipato kikubwa zaidi kuliko mwanamke.

6. Mwanaume inabidi awe na umri mkubwa kuliko mwanamke.

7. Mwanamke inabidi ampende zaidi mwanaume kuliko mwanaume anavyompenda mwanamke....

8. Mwanamke inabidi awe na sura nzuri kuliko mwanaume.

➡️➡️➡️ Lakini kwa vile hayanaga mwongozo wala fomyula, lo lote linawezekana!

Usiogope. Kama ushayavulia nguo, yakoge tu! Potelea mbali walimwengu watakavyodhani! 🚮

_20160418_111908.JPG
 
Kwa hiyo vibonge waowane vibonge, wembamba kwa wembamba, weusi kwa weusi, mrembo kwa handsome, tajiri kwa tajiri, masikini kwa maskini, kipanga kwa kipanga, mbumbumbu kwa mbumbumbu, nk. Maisha hayapo hivyo labda ukaishi dunia yako peke yako.
 
Kwa Kawaida:

1. Mwanaume inabidi awe mrefu kuliko mwanamke.

2. Mwanamke inabidi awe mweupe kuliko mwanaume.

3. Mwanamke inapendeza akiwa ana kamwili zaidi kuliko mwanaume.

4. Mwanaume inabidi awe amesoma zaidi kuliko mwanamke.

5. Mwanaume inabidi awe na kipato kikubwa zaidi kuliko mwanamke.

6. Mwanaume inabidi awe na umri mkubwa kuliko mwanamke.

7. Mwanamke inabidi ampende zaidi mwanaume kuliko mwanaume anavyompenda mwanamke....

8. Mwanamke inabidi awe na sura nzuri kuliko mwanaume.

➡️➡️➡️ Lakini kwa vile hayanaga mwongozo wala fomyula, lo lote linawezekana!

Usiogope. Kama ushayavulia nguo, yakoge tu! Potelea mbali walimwengu watakavyodhani! 🚮

View attachment 2931575
Shikamoo Kaka,
Naomba muongozo hapo No. 7 tafadhali..
Ahsante..!!
 
Back
Top Bottom