Eti hii gauni ni rangi gani?

Eti hii gauni ni rangi gani?

Kwa hali hii?Nyumbani kwangu nitaajiri house boy.
Period

Mpwaa
Jamaa naye hatakubali kwani atahisi huyo kaka wa nyumbani atakuwa anafanya kazi mbili.....

Hapo ni bora mlete robot ili mpate suluhisho la kudumu......
 
Huyo hata apike Msosi mbovu kiasi gani ntamsifia tu,maana alivyo hata radha yote ya Msosi iko kwake
 
Back
Top Bottom