Eti hatujui... kipimo gani kinatumika?

Huh, wali wa nazi waujua weye, je samvu la karanga kwa ugali??bora kama anajua maana asijepata sapraizi humu, maromance ya kibongo bibi mbele bwana nyuma wakitembea hakuna kukaribiana

hilo linagahamika manake ndo familia moja iyo iyo Shantel....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…