Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Ndio maana unri ukienda utaona thread nyingi humu jamnvini, za kutafuta husband material eakati usichana waliula kwa kudanga sasa uzee wanataka kumpelekea husband material
"ila tunahitaji mwanaume anaekupa thamani/heshima, "
Hili group mpo wachache.Wanawake wa siku hizi wengi wao kwenye hela hawachomoki,kuna wengine wanadiriki kujitongozesha kabisa kisa hela.