maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,046
- 4,608
We ata ukumuona mshamba humounguzii kituNingemuona mjanja kama angekua anakula 0 km.
Anakamatiaga used na nyingine zimeshashusha engine.
Hakuna jipya humo
We ata ukumuona mshamba humounguzii kituNingemuona mjanja kama angekua anakula 0 km.
Anakamatiaga used na nyingine zimeshashusha engine.
Hakuna jipya humo
Ambavyo sijazoea mambo ya baby nikashtuka mbona naitwa babygirl wakati nakojoa nimesimama. Kumbe mtoto aliyezaliwa ni mtoto wa kikeYes, baby girl
😂🙌🏾 you have spit the naked truthAh..ndugu yangu hebu twende taratibu kidogo hv kweli Kwa hali hii jua linavyowaka hv kuna mwanamke kweli wa kumkataa kijana km dewji,samatta,diamond,kiba na wengineo wenye mafanikio katika nyanja tofauti tofauti? Mwanamke hupenda mwanaume mwenye mafanikio hyo tangu enzi na enzi kabla haijawa kipimo ilikuwa mwanaume mwenye mashamba na mifugo ya kutosha mimi bado sijafanikiwa ila huu ukweli mchungu naujua mpenzi wangu mamuamini lakini nina uhakika kuna baadhi ya angel akibananishwa hatoki ng'o acha nitafute hela tu sio lazma nifanane nao huwezi tafuta hela ukawazidi wote ila japo ya kujikimu na kumtunza mtoto mzuri isiwe pangu pakavu kabisa lawama hiyo!
Katafuta kakosaTafuta pesa mkuu na mengine utazidishiwa
Njoo kwangu mi staki pesa kabisa japo Nshazeeka mieAh..ndugu yangu hebu twende taratibu kidogo hv kweli Kwa hali hii jua linavyowaka hv kuna mwanamke kweli wa kumkataa kijana km dewji,samatta,diamond,kiba na wengineo wenye mafanikio katika nyanja tofauti tofauti? Mwanamke hupenda mwanaume mwenye mafanikio hyo tangu enzi na enzi kabla haijawa kipimo ilikuwa mwanaume mwenye mashamba na mifugo ya kutosha mimi bado sijafanikiwa ila huu ukweli mchungu naujua mpenzi wangu mamuamini lakini nina uhakika kuna baadhi ya angel akibananishwa hatoki ng'o acha nitafute hela tu sio lazma nifanane nao huwezi tafuta hela ukawazidi wote ila japo ya kujikimu na kumtunza mtoto mzuri isiwe pangu pakavu kabisa lawama hiyo!
😂😂Tafuta pesa mkuu na mengine utazidishiwa