Mkuu ukiwa na pesa wanawake Wanakuja wenyewe.. Wala hana USIMBA wa hivyo....simba ni yule anawachapa na hana kitu.....sasa unahonga milioni kuna Dada atakataa?Duh! Ila kweli Diamond ni simba, habari za chini ya carpet inasadikika kuwa Diamond alimla Poshy Queen. Aise! Kama hizi habari ni kweli basi Diamond kanishinda tabia.
Huyu Diamond, yaani wadada wazuri wa mjini wote wake, dooh!
Mkuu ukiwa na pesa wanawake Wanakuja wenyewe.. Wala hana USIMBA wa hivyo....simba ni yule anawachapa na hana kitu.....sasa unahonga milioni kuna Dada atakataa?
Hyo mwanamke anayekataa mamilioni hayupo dunia ya Leo,, especially kwetu Africa.... Tusijidanganye ,,,uchawi wa mwanamke ni pesa ,,,,hakuna tunguli,,,kama unajiona unapendwa kweli kuwa broke halafu utuletee marejesho....bado unapendwa na wangapiMachangudoa hawakatai ila mwanamke anaejua thamani yake sio rahisi kurubuniwa na pesa
We mdau kwaio unashindanisha.?Kiba alishamla mda.. Sema tu hapendi show of.
So Simba now anakula viporo.
Nini!?We mdau kwaio unashindanisha.?
Mkuu ukiwa na pesa wanawake Wanakuja wenyewe.. Wala hana USIMBA wa hivyo....simba ni yule anawachapa na hana kitu.....sasa unahonga milioni kuna Dada atakataa?
Hyo mwanamke anayekataa mamilioni hayupo dunia ya Leo,, especially kwetu Africa.... Tusijidanganye ,,,uchawi wa mwanamke ni pesa ,,,,hakuna tunguli,,,kama unajiona unapendwa kweli kuwa broke halafu utuletee marejesho....bado unapendwa na wangapi