ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Mkoa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Sambwee Shitambala ameendelea kukiponda chama hicho akisema ni cha wanafamilia wanaokitumia kujinufaisha.
Shitambala ambaye alikihama chama hicho, alikuwa akizungumza jana katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa madiwani katika Kata ya Majengo jijini Mbeya.
MwanaCCM huyo alisema Chadema chama hicho hakitaweza kupiga hatua kutokana na kuwa sawa na genge la wachache ambaao ni wana familia wanaokitumia kujinufaisha.
Alisema CCM ndicho chama kinachoonekana kutokuwa na mwenyewe.
Alisema vingine vipo chini ya watu wachache hali ambayo vimekuwa vikipeana
madaraka wao wenyewe.
Tunataka chama kitakachokuwa cha Watanzania wote, ambao wakawa na kauli juu ya chama chao. Hatuhitaji chama kinachoongozwa na genge la wahuni.
Mtu kakianzisha kaweka hati nyumbani kwake, mwingine kaenda kaoa mke kwa mwenye chama kapewa uenyekiti.
Matokeo yake kinakuwa chama cha baba, mtoto na mkwe, hicho si chama, alisema na kuongeza: Mimi nilikuwa Mwenyekiti wao Mkoa wa Mbeya lakini nina historia ya kushindana nao katika suala la migomo.
Ndiyo maana sina historia chafu ya kukamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa kuongoza migomo ama maandamano yasiyo na kibali. Hii yote ni kwakuwa napenda amani ndiyo
sababu sikukubali kufanya vurugu
SOURCE: Habari leo
Tatizo tumeshalijua kwamba Mbowe hahongeki na hawezi kukiuza chama Never.Mkielemewa ndo mlivyo mna maneno mengi sana ya blaa blaa..... Mwishoni mtasema hata Mchungaji Msigwa ni binadamu yake mwanzilishi, Mr. 2 aliwah imba kwenye birthday ya mtoto wa mwanzilishi, Mnyika jirani yao pale mtaani, n.k....
This is non-sense, Tunataka sera nzuri za maendeleo sio chama cha nani?! Hata ww na mkeo au mmeo na ndugu zako mkianzisha chama tutaingia na kuwasapoti endapo tu mtakua na sera nzuri za kuiendeleza nchi yetu.
Tatizo tumeshalijua kwamba Mbowe hahongeki na hawezi kukiuza chama Never.
Dr Slaa hahongeki na hawezi kukiuza chama -- i this case CDM inakuawa CHAMA madhubuti sana katika histori ya nchi hii sababu viongozi wake wakuu huwezi kuwanunua kwa gharama yoyote ile, na wabunge wa chadema ndiyo machachari na wanasimamia hoja zao.
NCCR ilikuwapo lakini wote mnajua yaliyotokea.
Kwa hiyo watakuja na kila hoja
1. Chama cha wakristo
2. Chama cha wachagga
3. Chama cha wakatoriki
4. Chama cha kanda ya kaskazini
5. DR. Slaa ni Askofu
6. Chama cha uchochezi nchini
All this cause wameshindwa kujenga hoja ambayo wananchi watarudisha imani kwao, na hii ni tatizo wanalijua na linawatafuna kila siku.
Hilo mbona lipo wazi ni kweli ni cha cha kifamilia, Familia ya (Ndesamburo) Familia ya (Lissu) Familia ya (Mbowe) Familia ya (Mtei)
Tatizo tumeshalijua kwamba Mbowe hahongeki na hawezi kukiuza chama Never.
Dr Slaa hahongeki na hawezi kukiuza chama -- i this case CDM inakuawa CHAMA madhubuti sana katika histori ya nchi hii sababu viongozi wake wakuu huwezi kuwanunua kwa gharama yoyote ile, na wabunge wa chadema ndiyo machachari na wanasimamia hoja zao.
NCCR ilikuwapo lakini wote mnajua yaliyotokea.
Kwa hiyo watakuja na kila hoja
1. Chama cha wakristo
2. Chama cha wachagga
3. Chama cha wakatoriki
4. Chama cha kanda ya kaskazini
5. DR. Slaa ni Askofu
6. Chama cha uchochezi nchini
7. Chama cha kifamilia
.....
......
Hoja kama hizi ukimwambia mtanzania wa leo ni kama unapoteza muda wako, yeye anataka majibu ya hoja za msingi wewe unakuja na mambo kama hayo.
Haya yote ni kwa sababu wameshindwa kujenga hoja ambayo wananchi watarudisha imani kwao, na hii ni tatizo wanalijua na linawatafuna kila siku.
Umesahau Chadema ni
1. Wazee wa tindikali
2. Wazee wa wake za watu
3.Mademu wa kusagana
4..................
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
MwanaCCM huyo alisema Chadema chama hicho hakitaweza kupiga hatua kutokana na kuwa sawa na genge la wachache ambaao ni wana familia wanaokitumia kujinufaisha.
Alisema CCM ndicho chama kinachoonekana kutokuwa na mwenyewe.
Hatuhitaji chama kinachoongozwa na genge la wahuni'.
Mtu kakianzisha kaweka hati nyumbani kwake, mwingine kaenda kaoa mke kwa mwenye chama kapewa uenyekiti.
Matokeo yake kinakuwa chama cha baba, mtoto na mkwe, hicho si chama, ......
100% true. That is the true colour of CDM.
yupi kati yao? Wa kulia au koshoto?
ccm ni chama kisichokuwa na mwenyewe??aliyekuwa mwenyekiti wa mkoa wa chama cha demokrasia na maendeleo (chadema), sambwee shitambala ameendelea kukiponda chama hicho akisema ni cha wanafamilia wanaokitumia kujinufaisha.
Shitambala ambaye alikihama chama hicho, alikuwa akizungumza jana katika mkutano wa ufunguzi wa kampeni za chama cha mapinduzi (ccm) kwa ajili ya uchaguzi mdogo wa madiwani katika kata ya majengo jijini mbeya.
Mwanaccm huyo alisema chadema chama hicho hakitaweza kupiga hatua kutokana na kuwa sawa na genge la wachache ambaao ni wana familia wanaokitumia kujinufaisha.
alisema ccm ndicho chama kinachoonekana kutokuwa na mwenyewe.
alisema vingine vipo chini ya watu wachache hali ambayo vimekuwa vikipeana
madaraka wao wenyewe.
tunataka chama kitakachokuwa cha watanzania wote, ambao wakawa na kauli juu ya chama chao. Hatuhitaji chama kinachoongozwa na genge la wahuni.
Mtu kakianzisha kaweka hati nyumbani kwake, mwingine kaenda kaoa mke kwa mwenye chama kapewa uenyekiti.
Matokeo yake kinakuwa chama cha baba, mtoto na mkwe, hicho si chama, alisema na kuongeza: mimi nilikuwa mwenyekiti wao mkoa wa mbeya lakini nina historia ya kushindana nao katika suala la migomo.
Ndiyo maana sina historia chafu ya kukamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa kuongoza migomo ama maandamano yasiyo na kibali. Hii yote ni kwakuwa napenda amani ndiyo
sababu sikukubali kufanya vurugu
source: Habari leo