Eti, CCM wanalalamika Odinga kuibiwa kura.

Eti, CCM wanalalamika Odinga kuibiwa kura.

Hii ni kanuni ya maisha "MWIZI HUA HAMUAMINI MTU YEYOTE " na hudhani kila mtu ni kama yeye.

IEBC imepiga hatua mbali kabisa ukilinganisha na kitengo hiki cha Magogoni cha (NEC). Hapa kwetu ni zaidi ya aibu.

Cairo's
Tume yetu ya Lubuva ni kichekesho kura huwa siri kama jando, wenzetu walikuwa wanatoa matokeo LIVE bila kusubiri maelekezo toka juu.

NASA waliomba IEBC irudie kujumlisha kwa kutumia fomu za vituoni ikarudia kitu ambacho hakiwezekani kutokea Tanzania.
 
Hizi stori za vijiwe vya kahawa unaleta huku.

Raila anaihusu nini CCM?
 
Acha unafiki, hakuna mwa CCM aliyelalamika. Mod 4 ondoeni huu uzi, maana hakuna ushahidi wa CCM aidha kupitia katibu mkuu au katibu mwenezi au mwenyekiti wa CCM kutoa tamko la hicho alichokiandika mleta mada.
mwambien babu yenu wa Chato asikose innaguration ceremony ya Kenyata mwambie wivu haijengi Kenya bado maendeleo itasonga km mwanzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena kabisa ewe lofa. Maana nyie kila siku mnalia lia kwa vitu visivyo wahusu. Mfano ya Kenya yanawahusu nini? Mbona mlimpeleka mpaka fisadi nyeupe kwenda kushadadia vitu visivyomhusu?
Kwanini CCM haikuipeleka TOT kumfanya kampeni Odinga, nakumbuka enzi hizo TOT-CCM ilikuwa ikienda Malawi na Msumbiji kufanya kampeni.
 
Tume yetu ya Lubuva ni kichekesho kura huwa siri kama jando, wenzetu walikuwa wanatoa matokeo LIVE bila kusubiri maelekezo toka juu.

NASA waliomba IEBC irudie kujumlisha kwa kutumia fomu za vituoni ikarudia kitu ambacho hakiwezekani kutokea Tanzania.

Shida ya Tz ni kutegemea hisani ya CCM ktk hoja za msingi ili kutoa maamuzi. Wakati CCM inafaidika na ubovu huu wa :

- Katiba mpya watu wanasubiri hisani ya CCM !!

-Tume huru ya uchaguzi watu wanangojea hisani ya Maghufuli!!

-Kufanya siasa ya mikutano watu wanasubiri hisani ya mshindani wao Maghufuli pamoja na kujua kuwa hana haki ya kuzuia siasa!!

Cairo's
 
Acha unafiki, hakuna mwa CCM aliyelalamika. Mod 4 ondoeni huu uzi, maana hakuna ushahidi wa CCM aidha kupitia katibu mkuu au katibu mwenezi au mwenyekiti wa CCM kutoa tamko la hicho alichokiandika mleta mada.
Acha ukengeuku,who are you?Small fish in the pond unabisha nn
 
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.

CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.

Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.

CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.

Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.

Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?

Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.

Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.

Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.
Hongera sana IEBC kweli ni wazalendo. Mungu awabariki. Odinga amebebwa sana na Tume kwa maana kila lalamiko alilolitaka IEBC wamemtekelezea tofauti na huku Tanzania ilivyokuwa 2015.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani opposition daima watasupport kilicho chema.
Walisupport Odinga wakati wakidhani kuwa Uhuru alikuwa na makosa ya mauaji. Lakini sasa wamehakikisha kuea mahakama ya the Hague imewaachia.
Wanafurahia sasa utawala wa Uhuru wa haki na.uwazi. ila walisupport madaktari waliopinga uonevu na walipinga madaktari wetu kwenda Kenya kuingilia tofauti ya serikali ya Kenya na madaktari wake.
Sasa hivi wanasupport jinsi kura zilivyosimamiwa Kenya na uwazi uliotumika.
Kweli sasa hivi Tz tumepigwa buti sana na Kenya kwa hilo.
Niliona mpaka members wa senate ama governors wakitangazwa mara baada ya ushindi kuhakikiwa na majimbo yao bila kusubiri.
Excellent!
Kama kila kituo kina wawakilishi wa wagombea na kila jimbo linawawakilishi wa wagombea na wagomnea wote wamehakiki takwimu zote na kuweka sahihi kwa nini wasitangaze mara moja kwenye majimbo yao?
Hii inapunguza sana matatizo.
Kwetu matumizi mabaya ya
dola yanakera sana.
Kenya wametumia system ambayo inayoruhusu checks. Kwa kutumia forms A na B waliweza ku counter check. Sasa kwetu mpaka polisi wanapoteza takwimu mpaka za idara ya Haki za Binadamu. Shame on us.
 
Back
Top Bottom