Eti, CCM wanalalamika Odinga kuibiwa kura.

Eti, CCM wanalalamika Odinga kuibiwa kura.

HONGERA RAIS Uhuru Kenyaetta!
HONGERA IEBC!
Hongereni Wakenya wote!
HONGERA Raila Omolo Odinga!
 
Yan CCM inalalamika upinzani kuibiwa kura kenya?Yan mwizi wa kura za wapinzani afu analalamika kuwa upinzani unaibiwa kura kenya.Haya majizi yamenishinda tabia aseee
mkuu umeuliza source? u r perfect definition ya nyumbu
 
Bonafsi siwezi kufuatikia uchaguzi wa nchi kama kenya !! Hakuna cha kujifunza Ktk nchi ambayo ukabila umetawala ....wao ndio wajifunze kupitia Tz .....Amkeni wa Tz

Sent using Jamii Forums mobile app
Wajifunze nini, kuiba kura? Kupindua matokeo, kufuta uchaguzi, kuzuia mikutano, kufunga wabunge au nini wajifunze?

Sisi tuna vingi vya kujifunza naona hata ukabila tumetoa kwao.
 
Hakuna uchaguzi duniani unaoweza kuwa 100% perfect, lakini kwa kuangalia namna tume yetu iñavyoundwa na namna inavyofanya kazi hadi kutoa matokeo kupitia watumishi wa serikali wanaopewa wawatumie wakati wa uchaguzi na hata mwisho wanapoenda kwa rais kutoa taarifa ya uchaguzi, inadhihirisha ni jinsi gani tume isivyo huru.

Tume yetu inafanya kazi kwa usiri mkubwa, unaweza dhania na yenyewe ni chama kinashiriki kwenye uchaguzi na msiri wake ni chama tawala pekee hali inayofanya matokeo ya chaguzi zote kupondwa na wengi, hata kama yana ka ukweli fulani.
 
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.

CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.

Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.

CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.

Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.

Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?

Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.

Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.

Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.
Gob bless Kenya
 
No, ni kweli Kenyatta team wameiba kura mkuu.Maswali ya kujiuliza ya msingi ni manne.
1.Kwa nini system haikufanya kazi kwa kufuata maagizo ya Electoral Commission i.e kura kuhesabiwa vituoni ?
2.Kwa nini kwenye Odinga strongholds, vituo vilichelewa kufunguliwa?
3.Kwa Electoral Commission kukiri kwamba system ilikuwa hacked lakini data hazikuwa tampered with,huu si ushahidi tosha kwamba kulikuwa na shida?How are we sure that data was not tampered with,kwa assurance tu ya Electoral Commission? It is a flat no.
4.Kwa nini Chris's Msando aliuwawa?Was it a means of making sure that Uhuru wins?Did he hold the key to Uhuru's defeat?

Jamani tuweke itikadi zetu za kisiasa pembeni,maana naona CCM wako upande wa Odinga na CDM upande wa Uhuru.Ukweli ni kwamba Odinga amenyang'anywa ushindi.Points nilizozitaja hapo juu points towards this fact.

No, ni kweli Kenyatta team wameiba kura mkuu.Maswali ya kujiuliza ya msingi ni manne.
1.Kwa nini system haikufanya kazi kwa kufuata maagizo ya Electoral Commission i.e kura kuhesabiwa vituoni ?
2.Kwa nini kwenye Odinga strongholds, vituo vilichelewa kufunguliwa?
3.Kwa Electoral Commission kukiri kwamba system ilikuwa hacked lakini data hazikuwa tampered with,huu si ushahidi tosha kwamba kulikuwa na shida?How are we sure that data was not tampered with,kwa assurance tu ya Electoral Commission? It is a flat no.
4.Kwa nini Chris's Msando aliuwawa?Was it a means of making sure that Uhuru wins?Did he hold the key to Uhuru's defeat?

Jamani tuweke itikadi zetu za kisiasa pembeni,maana naona CCM wako upande wa Odinga na CDM upande wa Uhuru.Ukweli ni kwamba Odinga amenyang'anywa ushindi.Points nilizozitaja hapo juu points towards this fact.
Eti mi naona ni pointless!
 
Yan CCM inalalamika upinzani kuibiwa kura kenya?Yan mwizi wa kura za wapinzani afu analalamika kuwa upinzani unaibiwa kura kenya.Haya majizi yamenishinda tabia aseee
Mwizi kazidiwa maarifa na nguvu ya haki!
 
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.

CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.

Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.

CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.

Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.

Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?

Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.

Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.

Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.

Una kipaji cha kutunga hadithi tengeneza riwaya uuze uongeze kipato kuliko kujitumbukiza kidole halafu unanusa ilhali harufu ya ulipokiingiza unaijua
 
dah wapuuzi wachache wanatufanya tuonekane watz wote hatuna akil
 
Ata kama kaibiwa huo uchaguzi wa Tz unatuhusu nn ? Mi nazani ni ulimbukeni kutaka kujua ya watu wakat yetu yanatushinda ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaweza kusema hutaki kujua ya wengine lakini kuna watu wanataka kujua ya wengine.
Raila.jpm_.orange.jpg
 
Acha unafiki, hakuna mwa CCM aliyelalamika. Mod 4 ondoeni huu uzi, maana hakuna ushahidi wa CCM aidha kupitia katibu mkuu au katibu mwenezi au mwenyekiti wa CCM kutoa tamko la hicho alichokiandika mleta mada.
Tulia unyolewe vizuri!
 
Back
Top Bottom