mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 690
Pia NASA walikuwa na kituo chao cha kujumlisha matokeo. Haikuwa kosa yeyote kujumlisha na kuhakiki matokeo yake. Kwetu huku kuna computer za watu wanazo mpaka leo.Tume yetu ya Lubuva ni kichekesho kura huwa siri kama jando, wenzetu walikuwa wanatoa matokeo LIVE bila kusubiri maelekezo toka juu.
NASA waliomba IEBC irudie kujumlisha kwa kutumia fomu za vituoni ikarudia kitu ambacho hakiwezekani kutokea Tanzania.
Na kila mtu alijua NASA wanakituo ingekuwa kwetu leo wangekuwa central kwa kesi ya uhaini isiyo na dhamana.Pia NASA walikuwa na kituo chao cha kujumlisha matokeo. Haikuwa kosa yeyote kujumlisha na kuhakiki matokeo yake. Kwetu huku kuna computer za watu wanazo mpaka leo.
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.
CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.
Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.
CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.
Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.
Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?
Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.
Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.
Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.
Kwani keshajuwa matokeo ya uchaguzi Kenya. Maana huwa yuko busy sana "kuwahangaikia" na kutafuta "maendeleo" ya Watzmwambien babu yenu wa Chato asikose innaguration ceremony ya Kenyata mwambie wivu haijengi Kenya bado maendeleo itasonga km mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.
CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.
Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.
CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.
Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.
Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?
Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.
Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.
Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.
Ukapimwe mkojo unafananishaje binadamu na wanyama.Zezeta nakuona katika ubora wako. Si ndiyo nyie mlimsapoti Odinga last election? Yaani mnachekesha sana. Akili zenu zero brain kabisa. Hamueleweki, hamna msimamo nyumbu nyie
Seif kadhulumiwa miaka mingi huku CCM wakishangilia na kupongezana, unalijua hilo.mambo haya huwezi yapata sehemu yeyote duniani anaekandamiza upinzani kwa wizi kushangiliwa!
Fact.mwambien babu yenu wa Chato asikose innaguration ceremony ya Kenyata mwambie wivu haijengi Kenya bado maendeleo itasonga km mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Isipokuwa Tzmambo haya huwezi yapata sehemu yeyote duniani anaekandamiza upinzani kwa wizi kushangiliwa!
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.
CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.
Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.
CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.
Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.
Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?
Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.
Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.
Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.
He he kumbukumbu mubashara kabisa. Hii inaitwa nipe nikupe.Kwanini CCM haikuipeleka TOT kumfanya kampeni Odinga, nakumbuka enzi hizo TOT-CCM ilikuwa ikienda Malawi na Msumbiji kufanya kampeni.
Kwa nini Useme CDM utashindwa 2020 kama si hila ?! CCM yenye kujiamini haipaswi kupinga uwepo wa tume huru.Wamelalamika wapi mkuu, Tuwacheke?
Wakenya wameonesha ukomavu, CHADEMA tunatakiwa kumshauri ODINGA akubali matokeo kama sisi tutakavyokubali 2020. Mshindi lazima awe mmoja tu hawawezi kushinda wawili.
Mkuu sio mapema kupongeza mbona rais Magufuli ameshapongeza au yeye hajui kuwa kuna kifo tata cha mtaalamu wa IEBC.Nafikiri ni busara kuwa na akiba ya maneno! Ni mapema mno kupongeza upande mmoja na kunyooshea kidole upande mwingine! Tukumbuke kuwa kifo tata cha kikatili cha mtaalamu wa mfumo wa IEBC hakijapata ufumbuzi, na hatuna uhakika bado kama kifo hicho hakihusishwi na zoezi zima la kupokea na kurusha taarifa za kura!