Eti, CCM wanalalamika Odinga kuibiwa kura.

Eti, CCM wanalalamika Odinga kuibiwa kura.

Tume yetu ya Lubuva ni kichekesho kura huwa siri kama jando, wenzetu walikuwa wanatoa matokeo LIVE bila kusubiri maelekezo toka juu.

NASA waliomba IEBC irudie kujumlisha kwa kutumia fomu za vituoni ikarudia kitu ambacho hakiwezekani kutokea Tanzania.
Pia NASA walikuwa na kituo chao cha kujumlisha matokeo. Haikuwa kosa yeyote kujumlisha na kuhakiki matokeo yake. Kwetu huku kuna computer za watu wanazo mpaka leo.
 
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.

CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.

Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.

CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.

Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.

Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?

Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.

Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.

Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.

Nafikiri ni busara kuwa na akiba ya maneno! Ni mapema mno kupongeza upande mmoja na kunyooshea kidole upande mwingine! Tukumbuke kuwa kifo tata cha kikatili cha mtaalamu wa mfumo wa IEBC hakijapata ufumbuzi, na hatuna uhakika bado kama kifo hicho hakihusishwi na zoezi zima la kupokea na kurusha taarifa za kura!
 
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.

CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.

Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.

CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.

Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.

Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?

Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.

Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.

Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.

Wamelalamika wapi mkuu, Tuwacheke?
Wakenya wameonesha ukomavu, CHADEMA tunatakiwa kumshauri ODINGA akubali matokeo kama sisi tutakavyokubali 2020. Mshindi lazima awe mmoja tu hawawezi kushinda wawili.
 
Magufuli na CCM yake will never ever allow kura za vituoni zijulimlishwe kwa nafasi ya uRais. Wao siku zote watatumia matokeo yanayotumwa na DED, ambae apparently ndie eti mwakilishi wa NEC (masihara hayaaa...) na ni mteuliwa wa Rais (ndugu wa damu/rafiki/mchepuko wa either P, VP, PM au Speaker).

Hongera Kenyatta na IEBC kukubali haraka kucount upya votes kwa kutumia forms za vituoni, as demanded by Raila. This time around Raila kapigwa kihalali kabisaaa. A gap of 2M votes is not a joke. It seems Raila never learnt anything from last election and he kept the same losing team. Hata aliowaongeza (Mudavadi et al) had no additional meaningful value. CHADEMA wana cha kujifunza hapa.
 
Zezeta nakuona katika ubora wako. Si ndiyo nyie mlimsapoti Odinga last election? Yaani mnachekesha sana. Akili zenu zero brain kabisa. Hamueleweki, hamna msimamo nyumbu nyie
Ukapimwe mkojo unafananishaje binadamu na wanyama.
 
Kenya kupitia tume yao ya uchaguzi IEBC wameionyesha dunia kumbe Waafrika tunaweza kuendesha uchaguzi wetu ulio huru wa haki na uwazi (transparent election) bila kuingiliwa na mataifa ya nje.

CCM na tume yetu ya uchaguzi NEC wana mengi ya kujifunza kutoka Kenya, waache kulialia kuwa Odinga ameibiwa kura, kwa vile hadi sasa hakuna aliye na ushahidi wa wizi huo.

Nani asiyejua CCM ni mabigwa wa wizi wa kura wamejaribu kupeleka mbinu hizo Kenya wamegonga mwamba ndipo wanalalamika.

CCM wanatoa wapi upendo kwa mgombea wa upinzani Raila Odinga, mbona 2015 wakati Lowassa akidai kura zimedukuliwa hamkujitokeza kama mnavyojitokeza leo kuitaka NEC itumie fomu kutoka vituoni kujumlisha kura, mbona hamkufanya hivyo kwa Maalimu Seifu aliyedai kashinda na matokeo yake kufutwa. Acheni unafiki.

Odinga kwa mwamvuli wa NASA alipewa kila alichoomba,
Aliomba tume huru akapewa IEBC,
Aliomba mikutano huru hakubughudhiwa na polisi yeyote,
Alimkosoa rais Uhuru kwa kadri alivyopenda hakukamatwa na mtu.
Aliomba wafungwa waruhusiwe kupiga kura akapewa.
Aliomba wakenya waishio nje wapige kura akapewa.
Aliomba kura zihesabiwe upya kwa kutumia fomu 34A 34B IEBC wakarudia.

Sasa CCM mnavyolalamikia matokeo mlitaka rafiki yenu ashinde kwa kura za wizi?

Kenya wameendesha uchaguzi wao kwa uhuru na haki na kwa uwazi wa hali ya juu tofauti na sisi ambapo matokeo huwa siri hadi siku ya mwisho.

Leo vyama vya upinzani vimezuiwa kufanya mikutano ya kisiasa wakati CCM ikiendelea na mikutano kama kawaida, sipati picha itakuwaje wakati wa uchaguzi.

Hongera Uhuru, hongera IEBC na hongera wakenya wote.

Uchaguzi ujao watakufa watu wengi na wengine wataishia jela ,,,kwa namna inavyoonekana na huyu bwana mkubwa hawapendi opposition, ,,,tuombe Mungu
 
Kwanini CCM haikuipeleka TOT kumfanya kampeni Odinga, nakumbuka enzi hizo TOT-CCM ilikuwa ikienda Malawi na Msumbiji kufanya kampeni.
He he kumbukumbu mubashara kabisa. Hii inaitwa nipe nikupe.
 
chadema mmekosa pa kutokea hadi mnataka kutumia uchaguzi wa kenya kujiimarisha kisiasa!
 
Wamelalamika wapi mkuu, Tuwacheke?
Wakenya wameonesha ukomavu, CHADEMA tunatakiwa kumshauri ODINGA akubali matokeo kama sisi tutakavyokubali 2020. Mshindi lazima awe mmoja tu hawawezi kushinda wawili.
Kwa nini Useme CDM utashindwa 2020 kama si hila ?! CCM yenye kujiamini haipaswi kupinga uwepo wa tume huru.

Cairo's
 
Nafikiri ni busara kuwa na akiba ya maneno! Ni mapema mno kupongeza upande mmoja na kunyooshea kidole upande mwingine! Tukumbuke kuwa kifo tata cha kikatili cha mtaalamu wa mfumo wa IEBC hakijapata ufumbuzi, na hatuna uhakika bado kama kifo hicho hakihusishwi na zoezi zima la kupokea na kurusha taarifa za kura!
Mkuu sio mapema kupongeza mbona rais Magufuli ameshapongeza au yeye hajui kuwa kuna kifo tata cha mtaalamu wa IEBC.
Screenshot from 2017-08-12 10-08-45.png
 
Back
Top Bottom