Hakuna kusajili kampuni eti ya "kizawa". Aidha partners wa kampuni iliyisajiliwa wawe ni wazawa au siyo wazawa mradi wakikidhi vigezo kampuni inasajiliwa. Kama haukidhi vigezo vilivyowekwa kisheria basi uwe au usiwe mzawa hautasajiliwa.Ni kampuni inayomilikiwa na mtanzania mwenye asili ya Uhindini (Uraia wa kusajiliwa)
Hivyo kuiwezesha kusajiliwa kama kampuni ya kizawa
Ni kampuni daraja la kwanza (1) kwenye majengo na uhandisi wa miundombinu jamii.
Hakuna kusajili kampuni eti ya "kizawa". Aidha partners wa kampuni iliyisajiliwa wawe ni wazawa au siyo wazawa mradi wakikidhi vigezo kampuni inasajiliwa. Kama haukidhi vigezo vilivyowekwa kisheria basi uwe au usiwe mzawa hautasajiliwa.
Sehemu za pavement wamepanda nyasi. Subiri mvua zijeUJjuaji mwingine bana kwa hiyo pavement zina hifadhi mazingira kuliko nyasi
Mbona mkandarasi kaanza kubomoa tena hiyo barabara nini kimetokea na ni kipande kirefu tu cha rami saiv anabomoa nimepita huko last weekIyovi mafinga walijitahidi.. japo kuna maeneo walizingua.. ila ni moja ya barabara za kimataifa tanzania. Mafinga igawa iliyo zinduliwa na magufuli juzi ni balaa.. ni mkeka mkali kuliko yote tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii si tumeambiwa na Chadema, Mangekimambi amewaarifu uwa serikali imeishiwa pesa wamesimamisha ujenzi😂😂Ngoja nione Hii ya Kimara to kibaha ndio nitoe maksi
Poor quality, thin, many sharp coners...Ila waliojenga barabara ya Dodoma Iringa ni shida barabara imeanza kuwekwa viraka hata miaka 3 haijafika!
Umenena vyemaTatizo la kujenga miundombinu mibovu na isiyokuwa ya kiwango linaanzia kwenye tenda, ili ushinde tenda na kupewa kazi mnakaa mezani kwanza, mzabuni anaweka cost zote kukidhi viwango kutokana na TOR, anasema itagharimu 300bil, afu jamaa wanamwambia ili tukupe kazi 150bil ni zetu. Kwa kuwa mzabuni hataki kukosa kazi, anakubali anajibana na kutoa kitu kisicho na ubora kuhofia kukosa kazi siku za mbele.
Kuna co. Inajenga barabara kutoka sinza kijiweni kwenda tandale, kutoka tip top Hadi mtogole, anajenga mifereji kwa kwa zege na nondo zilizosukwa kwa uhakika. Akatokea mkuu mmoja kukagua akasema barabara zinajengwa kwa ghalama kubwa km chache. Hapo engeneer si itabidi aachane na viwango akidhi quantity? Siasa na rushwa ndivyo vinajenga barabara mbovu na si maengeneer
Duh, bonge la mtonyo!Estim na Ravji walikua ma engineer wa Konoike.Konoike walipoondoka wakawaachia vifaa hawa wahindi.Hawa wahindi wakawa weledi katika ujenzi.
Pia Walipewa ramani tuu wakakamilisha ujenzi wa mahali pa kuzeekea mstaafu msoga bure.Hivyo tenda nzuri wanalamba na jamaa wa sasa hakohoi hapo.
Ile ya msata-bagamoyo walijenga kwa 1.6bn per km
Labda ndio ulikuwauwezo wa serikali wakati huo. Lakini hakukuwa na ya kufanya nusu nusu hasa kwa barabara ya mkoa kwa mkoa. Ukitoka Dodoma ukafika pale Iringa Airport mpaka kuja kuingia barabara ya Iringa - Mbeya - Dar ndio utajua kiasi gani umetoka kwenye barabara ya kiwango cha chini sana hiyo ya Iringa - DodomaPoor quality, thin, many sharp coners...
Mkuu estim wamejenga madaraja tuu.. sehemu nyingine zimejengwa na mchina.
Kuna categories, local na foreign contractors. Uwe unauliza kabla hujaongea mashuduHakuna kusajili kampuni eti ya "kizawa". Aidha partners wa kampuni iliyisajiliwa wawe ni wazawa au siyo wazawa mradi wakikidhi vigezo kampuni inasajiliwa. Kama haukidhi vigezo vilivyowekwa kisheria basi uwe au usiwe mzawa hautasajiliwa.
Waliojenga Masasi -Tunduru na Mafinga to Igawa ni wachina .Iyovi mafinga walijitahidi.. japo kuna maeneo walizingua.. ila ni moja ya barabara za kimataifa tanzania. Mafinga igawa iliyo zinduliwa na magufuli juzi ni balaa.. ni mkeka mkali kuliko yote tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampun kiboko kwa maeneo niliyopita mm ni AASLEFF INTERBERTON, Hawa wazungu walijenga mkeka wa kuanzia iyovi hadi mafinga.
Sent using Jamii Forums mobile app