xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,319
- 4,709
Casco ile inapigaga sana kaz za migodini?Rostam Aziz-->Caspian--Estim--Masasi Construction--Kasco Construction--Nyanza Construction
Najaribu kuota
Casco ile inapigaga sana kaz za migodini?Rostam Aziz-->Caspian--Estim--Masasi Construction--Kasco Construction--Nyanza Construction
Najaribu kuota
Kwa theory za darasani wabongo tupo vizuri, akabidhiwe sasa hata kilometer 1 uone, nenda Alaf kiwanda cha mabati kaangali kampuni ya mswahili mwenzetu huu mwaka wa 3 km 2 hazifiki. Ndio maana nahisi huyo mtoa mada ameshangaa ubora wa Estim, kuongezea hata Nyanza Construction wapo vizuri na ni mtanzania mwenye asili ya India, sisi kwenye barabara zero, miradi ya maji zero, huko REA mpaka wakandarasi wawekwe lock up. Wenzetu wamebadilika kulingana na awamu ili wapate riziki ( Less cost, High Quality, less delivery time) ukifeli hayo njaa inakuhusu. Mbona Songoro Marine anajenga almost meli na vivuko vyote kilichombeba ni hayo na kuajiri technical team qualified toka nje.Una akili mbovu sana, sema umeingilia fani isio yako. Ninapokuona juha ni kuwa hata Estim hujui ni ya wapi, na umekuja na unaa kama sio sifa za kuipigia debe. Kuanzia lini wewe ukasema Estim ndio inatakiwa iachiwe Kazi za madaraja, Kazi za majengo na barabara kampuni zingine zitafanya nini? Umekuja na hoja mufilisi kabisa eti wachina walikimbia ujenzi wa bagamoyo-msata, wakafanya Estim, umezidi kujichanganya kwamba umetumwa.
Sasa kwa taarifa yako ni ujenzi wa Kawaida sana kutokana na aina ya ujenzi wa barabara uwe na Kiwango gani. Barabara zina madaraja matano, earth road, gravel road, single surface dressing na double, la mwisho ndio premix ndio hizo wanajenga hao wanaume wako. Zitatofautia layer to za ujenzi basi kwa ajili ya kuhimili uzito tofauti tofauti.
Kwa taarifa yako ni kampuni ya hapa Tanzania, ikiwa kampuni tanzu ya Caspian.
Ili kukuweka wazi kuna kampuni kubwa zenye level moja na hiyo na zinafanya Kazi iliyotukuka sana.
Mtu wa muhimu kuhakikisha ujenzi unakuwa wa Kiwango ni specification za kwenye mkataba, na usimamizi na ukaguzi wa client na consultant.
Wafanye stage zote za ukaguzi, kabla, wakati na mwisho.
Pole na hongera kwa kuongea hisia zako hadharani.
YapCaspian ndio Rostam mkuu?
With lots of tentacles!Yeah....the man is like an octopus
This is a local company owned by Indians-Tanzanians.India
Tango porihujaota mkuu, ndio ukweli wenyewe huo.
Hiyo ya less cost, high quality haijawai kutokea duniani. Labda itakuwa huku Tanzania. Ina Maana hata ule msemo wa bure ni ya ghali umekupita kombo.Kwa theory za darasani wabongo tupo vizuri, akabidhiwe sasa hata kilometer 1 uone, nenda Alaf kiwanda cha mabati kaangali kampuni ya mswahili mwenzetu huu mwaka wa 3 km 2 hazifiki. Ndio maana nahisi huyo mtoa mada ameshangaa ubora wa Estim, kuongezea hata Nyanza Construction wapo vizuri na ni mtanzania mwenye asili ya India, sisi kwenye barabara zero, miradi ya maji zero, huko REA mpaka wakandarasi wawekwe lock up. Wenzetu wamebadilika kulingana na awamu ili wapate riziki ( Less cost, High Quality, less delivery time) ukifeli hayo njaa inakuhusu. Mbona Songoro Marine anajenga almost meli na vivuko vyote kilichombeba ni hayo na kuajiri technical team qualified toka nje.
Hakuna kitu kama hicho, wewe umeleta mahaba tu.Kama na akili mbovu niambie mradi wowote ambao walau umelalamikiwa kwamba umejengwa chini ya kiwango.
Hata kampuni yako ingefanya vizuri ningefanya the same.
Kuna makapuni kibao yanachoma kodi za wananchi.
Sasa ile ndio nilikuambia ni aina ya moja ya viwango vya barabara za rami. Ile ni ya Kiwango cha tatu, inaanzia nduli Airport mpaka maeneo ya Mkonze unapoingia Dodoma. Ndio single surface dressing.Ila waliojenga barabara ya Dodoma Iringa ni shida barabara imeanza kuwekwa viraka hata miaka 3 haijafika!
Barabara ya Makuyuni mpaka KaratuKama na akili mbovu niambie mradi wowote ambao walau umelalamikiwa kwamba umejengwa chini ya kiwango.
Hata kampuni yako ingefanya vizuri ningefanya the same.
Kuna makapuni kibao yanachoma kodi za wananchi.
Ulishawahi kufanya nao kazi?This is a local company owned by Indians-Tanzanians.
Kuna makampuni mengi sana Tanzania ila Estim wanaheshimu mno quality ya kazi zao