Esther Reuben is no more!

Simfahamu. Ila natoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki.

Mungu akupe Mapumzisho mema, Fundi Mchundo mwenzangu wa Arusha TECH.
 
Hana sifa ya kutangazwa hapa, maana sio maarufu sasa hili tangazo linakuwa useless,..... but RIP.
 
Nilisoma DIT miaka hiyo ya 2001 mpaka 2004 bahati mbaya sikuweza kumfahamu hope alikuwa ADE kwani mimi nilikuwa nagonga FTC nikumbushe alikuwa ADE anasomea nini. Poleni wafiwa wote na jumuiya nzima ya wahandisi
 
Hana sifa ya kutangazwa hapa, maana sio maarufu sasa hili tangazo linakuwa useless,..... but RIP.

Mkuu Matola nakuheshimu sana lakini kwa comment kama hii nashindwa kukuelewa.

Kwamba JF ni kwa watu maarufu pekee? No dude. Kama haikuhusu na hujaguswa na kifo cha huyu mtanzania mwenzetu unaweza kunyamaza tu.
 
Nilisoma DIT miaka hiyo ya 2001 mpaka 2004 bahati mbaya sikuweza kumfahamu hope alikuwa ADE kwani mimi nilikuwa nagonga FTC nikumbushe alikuwa ADE anasomea nini. Poleni wafiwa wote na jumuiya nzima ya wahandisi

Alikuwa ADE 01 Electrical. Pia alikuwa anasali kanisa la SDA na aliolewa na bwana mmoja akiitwa Niko alimaliza FTC 2004.
 
Namfahamu na nimekuwa nikimtembelea nyumbani kwake Tabata na hadi alipolazwa pale Hindu Mandal, Ni msiba mzito kwa kweli.....
<br /> <br / ni nani jamani?wekeni wazi ni mwandishi, mbunge,diwani, mtangazaji,mwanamichezo, MEMBER WA JF??
 
<br /> <br / ni nani jamani?wekeni wazi ni mwandishi, mbunge,diwani, mtangazaji,mwanamichezo, MEMBER WA JF??
NI binadamu mwenzio ambaye ameshiriki kikamilifu kulisukuma gurudumu la maendeleo hapa nchini katika fani ya uhandisi wa umeme. ni miongoni mwa wahandisi wanawake ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika fani hiyo.
Alikuwa ni Msabato akisali katika kanisa la SDA Tabata kisukulu mlimani. Taarifa nilizozipata jana usiku pale msibani ni kwamba atasafirishwa kwenda Kigoma kasulu kesho kwa mazishi.
 
NI binadamu mwenzio ambaye ameshiriki kikamilifu kulisukuma gurudumu la maendeleo hapa nchini katika fani ya uhandisi wa umeme. ni miongoni mwa wahandisi wanawake ambaye alikuwa na mchango mkubwa katika fani hiyo.
Alikuwa ni Msabato akisali katika kanisa la SDA Tabata kisukulu mlimani. Taarifa nilizozipata jana usiku pale msibani ni kwamba atasafirishwa kwenda Kigoma kasulu kesho kwa mazishi.

Thanks mkuu for your moral support.
 
RIP....
Nadhani kama jambo halimuhusu mtu alipotezee tu kuliko kukomenti kila jambo then unachemka.... natumaini hii ni njia mojawapo ya kupeana taarifa ukizingatia watu tunapoachana shuleni/vyuoni kila mmoja natimka kivyake sasa tupo sehemu mbali mbali za dunia.
 
Back
Top Bottom