Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Baada ya kuhonga sanaaa. Sasa amechoka.Haya mama kapumuzishe.

mkuu hyo id yako akiiona kiranja mkuu itamkumbusha mbali sana..

Naskia baada ya kufeli akaamua kukariri shule na kutumia hlo jina.
 
Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.

Mandla.

Mandla Jr inategemea ukaribu wako na yeye. Mpanda ni karibu sana na dar es salaam (Huweza kulinganisha na distance kutoka Kobe Japan na dar es salaam). Wewe nirafiki yake angalao kwenye facebook? Soma hapa jinsi alivyoandika kwenye wall yake https://www.facebook.com/ester.bulaya
 
Last edited by a moderator:
ccm inakimbiwa jamani. mliobaki sijui mnasubiri nini!?
 
Safi sana, tukizungumzia mabadiliko lazima wawepo wanawake wa shoka kama hawa wanaoweza kufanya maamuzi magumu kama Mh. Ester Bulaya.
 
Katika wabunge wachache wa sisiem niliokuwa nawakubali, you were MY NUMBER ONE. Nimefurahi sana kwa uamuzi wako wa kishujaa. Sijui utaenda chama gani lakini nakutakia kila la kheri katika mipango yako. Mungu akutangulie. Naamini watu wa Bunda hawatafanya makosa. Umepigania vijana ukiwa umefungwa kamba, vyema sasa utapigania ukiwa huru.
 
impact yake ilikua ndogo sana, na alilishutukia hilo ndio maana akaamua kuondoka, wako wengine wa kujaza nafasi yake kama 700 hivi
 
She does not dererve ccm. Anapenda kukosoa ccm lakini ni ngumu kufanya hivyo angali ndani ya ccm. Lazima atafute sehemu ambayo atakuwa na uhuru wa fikra
 
Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.

Mandla.

Nilichosikia mimi asubuhi kwenye habari magazetini ni kuwa Ester kasema hagombei kwa tiketi ya CCM si kwa sababu hataki, ila ni kwa sababu CCM hawamtaki. Na hajaeleza kuwa atagombea kwa chama gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom