chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 20,711
- 31,325
Karibu CDM Dada..
Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki CDM
huyu kama vile anq damu ya ACT...natabiri tu
Karibu CDM Dada..
Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki CDM
Muda huu ninapoandika haya madiwani wote wa jimbo la Monduli waliokuwa wa CCM wamerudisha kadi na kujiunga na CHADEMA...
Sio hao tu bali hata wenyeviti wa vijiji na vitongoji wote wa CCM wamerudisha kadi na kujiunga chadema.
https://m.youtube.com/watch?v=2Pqi7EKVEPM
Huyu, yule wa Mwibara, Deo, Lembeli, waondoke tu CCM maana si mahali pao, wasipoangalia hata kupitishwa wasingepitishwa
Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.
Mandla.
Huyu, yule wa Mwibara, Deo, Lembeli, waondoke tu CCM maana si mahali pao, wasipoangalia hata kupitishwa wasingepitishwa
Hivi kwa akili ya Ester anaamini wajita wazizaki wakyaya wachague mbunge mwanamke?
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.
Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.
Chanzo: Nipashe
=====================
Update
Hio hapo Mpwa, pengine mleta mada au Invisible angeweka hapo juuNiliandika uzi humu wakasema ni tetesi, subiri mtaona.
Stay tuned