Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 433
Huyo dada nilimwona hata kwenye bunge maalum la Katiba akiwa msimamo tofauti na ule wa chichiem wa serikalu 2.
Esther wewe siyo wa kukaa kule ,waachie wazoea rushwa waendelee,
Kuna vijana wengi wanaamini kuwa wataleta mabadiliko wakiwa ndani ya chichiem,hiyo ngumu jamani! System ya chama ikishakuwa corrupt ndo basi tena.
Esther Karibu Upinzani, nakukubali sana we dada!
Uamuzi huo hujakosea na wala hutajuta..ukombozi kamili upo UKAWA!
Esther wewe siyo wa kukaa kule ,waachie wazoea rushwa waendelee,
Kuna vijana wengi wanaamini kuwa wataleta mabadiliko wakiwa ndani ya chichiem,hiyo ngumu jamani! System ya chama ikishakuwa corrupt ndo basi tena.
Esther Karibu Upinzani, nakukubali sana we dada!
Uamuzi huo hujakosea na wala hutajuta..ukombozi kamili upo UKAWA!