hv huyu demu kaolewa?
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.
Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.
Chanzo: Nipashe
=====================
Update
Acha upu.mbav na kudhalilisha watu wa Makete.
Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.
Mandla.
I will vote for bulaya
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.
Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.
Chanzo: Nipashe
=====================
Update
Tatizo letu mtu akishajua kuongea kwenye mikutano basi yeye anajiona ndo mtu pekee anayestahil kuongoza na si wengine, atagombea kwa chama gani na nani kamwambia hicho chama kingine hakina mtu makini zaid yake, CDM, NCCR, CUF....? hakuna watu waliopigania hivi vyama nao wana haki ya kuwa wagombea? watu washalishwa sifa za kinafiki kuwa wao wanakubalika zaid ya wengine ndo mana tunawaona wakikumbana na upinzani kidogo wanatangaza kuhama, waanze kugombea huko huko then tuone jinsi gani wataikabili hiyo rushwa na watuletee ushahidi ili tuwaite mashujaa baada ya kushindwa kwa rushwa. Sio lazima wawe viongozi hata kuwa wanachama tu inatosha, hivi vyama vinavyowapokea nashauri viwaweke kwenye uangalizi mpaka uchaguz huu ukipita ndo wawape nafasi ya kuja kugombea mhula ujao.
Dah! magamba bwana, jamaa wamemwomba rushwa gani huyo dada!Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.
Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.
Chanzo: Nipashe
=====================
Update
nilichokuwa Nakiwaza ndicho hichi ndicho kinaenda kutimia kuwa
Ester Bulaya anataka jimbo hilo hilo ambalo yumo Wasira sasa jiulize kwenye Kura za maoni
Wasira akatwe kweli? Wasira ambae kakaa sisiemu mda mrefu na ni eaziri wa kilimo na chakula asitunziwe heshima yake waje wampe Bulaya sijui.....
Bora aingie Upinzani ndo salama yake kutokana na mkoa wake ambao uko vizur kwa upinzani
Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.
Mandla.
Tatizo letu mtu akishajua kuongea kwenye mikutano basi yeye anajiona ndo mtu pekee anayestahil kuongoza na si wengine, atagombea kwa chama gani na nani kamwambia hicho chama kingine hakina mtu makini zaid yake, CDM, NCCR, CUF....? hakuna watu waliopigania hivi vyama nao wana haki ya kuwa wagombea? watu washalishwa sifa za kinafiki kuwa wao wanakubalika zaid ya wengine ndo mana tunawaona wakikumbana na upinzani kidogo wanatangaza kuhama, waanze kugombea huko huko then tuone jinsi gani wataikabili hiyo rushwa na watuletee ushahidi ili tuwaite mashujaa baada ya kushindwa kwa rushwa. Sio lazima wawe viongozi hata kuwa wanachama tu inatosha, hivi vyama vinavyowapokea nashauri viwaweke kwenye uangalizi mpaka uchaguz huu ukipita ndo wawape nafasi ya kuja kugombea mhula ujao.