Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.

Mandla.
Kama ni mtu wako wa karibu muulize halafu uje ukanushe au uthibitishe.
 
Naona nawe unaingia kwenye rekodi ya hao waliosema mengi kwahiyo historia haita kuacha.

naona mnatapatapa na tetesi tu..
Nasubir baadae mseme magufuli arudisha form ya ccm na kujiunga chadema...

Hizo illusion zenu hizo zitawamaliza mwaka huu
 
Ester hakuwahi kuwa mwanaCCM.. CCM ilikuwa platform yako ya kujitokeza ktk siasa za Tanzania. Rejea flow ya michango yako mjengon kw kipindi cha 5 yr ulivyokuwa MP. Ulijal maslahi ya Taifa.
Mlikuwa twins na Mh Mdee aliekuwa MP wa Kawe.
CCM haihitaj damu mpya yenye vision kw Taifa kama ww.
UKAWA ndy jukwaa halisi linalokufaa. Ni imani yangu utakuwa pamoja na CDM.

Ameeeeennnn
 
Wassira kashapigwa mueleka hapa kabla hata kura hazijaanza kupigwa..
 
Estar ni mwanasiasa kijana na bado yupo kwene Peak. Ni binti anayetaka kujijengea heshima mbele ya jamii. Baada ya mpinzani wake mkuu Wasira kushindwa kwenye urais, ni dhahiri alitakiwa kuwa na ushawishi mkubwa kupenya mchujo wa ccm. ndio maana ameona njia ya kupita ni kuhonga na bado unaweza kuhonga usipite. Karibu kwenye siasa mbadala!
 
SPIKA: Anayekubariana na hoja ya Ester Matiku asema ndiyo

Wabunge wa CCM; Siyoooooo

SPIKA: Samahani nimekosea, nitarudia tena kuwahoji, anayekubariana na hoja ya Ester Bulaya aseme ndiyo

Wabunge wa CCM: Ndiyooooooooooooo!

SPIKA. Waliosema Ndiyoo wameshinda, hoja imepita

Kwa mtu yeyote makini haweza kukaa na genge hilo la watu wahuni, no wonder Ester Bulaya ameamua kuachana na UHUNI huo.
 
naona mnatapatapa na tetesi tu..
Nasubir baadae mseme magufuli arudisha form ya ccm na kujiunga chadema...

Hizo illusion zenu hizo zitawamaliza mwaka huu

Mkuu cdm hamfungi mtu kamba shingoni kumvuta ili ajiunge nayo,no bali ni Mapenzi na utashi wake mwenyewe
 
Tanzania yangu, karibu upinzani mama, huwezi kuwa huru ukiwa ccm, nasikia harafu ya ukombozi.

Kilichoshindikana kwa miaka 20 mwaka huu mungu atafungua milango,na ccm kuungana na kina Tlp,udp,act na wengine wengi kwenye kambi ya upinzani
 
naona mnatapatapa na tetesi tu..
Nasubir baadae mseme magufuli arudisha form ya ccm na kujiunga chadema...

Hizo illusion zenu hizo zitawamaliza mwaka huu

Muda huu ninapoandika haya madiwani wote wa jimbo la Monduli waliokuwa wa CCM wamerudisha kadi na kujiunga na CHADEMA...

Sio hao tu bali hata wenyeviti wa vijiji na vitongoji wote wa CCM wamerudisha kadi na kujiunga chadema.









https://m.youtube.com/watch?v=2Pqi7EKVEPM
 
ndani ya ccm bila kuhonga huwezi pata cheo kamwe. nilikuwa mbinga juzi mkoani ruvuma. wagombea wa ccm wanashindana kwa kuhonga. mbaya zaidi anayeongoza kwa kuhonga ndo anashabikiwa zaidi na wanaccm.

Mbona lowassa bingwa wa kuhonga lakini AMEKATWA mkuu?
 
Hivi conflict ya lipumba vs slaa imeishia wapi???? Au wote watagombea hivohivo
 
Hv hao TAKOKURU wanafanya nini ocfn, kila kukicha watu wanalalamika rushwa ndani ya CCM lkn sijasikia hata siku moja wakitwa hao wanaolalamika ili wasaidie uchunguzi na watuhumiwa watiwe ndani, au RUSHWA ikitoka ccm sio rushwa ni zawadi ila ikitoka kwingine ndio rushwa na mtu anatakiwa kukamatwa?
 
Siku nyingi nilihisi huyu dada ana kitu tofauti kulinganisha na ninavyowafahamu CCM members na hasa pale alipokuwa akichangia hoja bungeni. Sishangai kuona amechukua uamuzi huo. Kuna dada mwingine aliibuka kishujaa humu jamnvini Nimelisahau jina lake la kwanza lakini la ni ..........Wasira, simsikii tena siku hizi, mwenye taarifa zake atujuze please. Well done E.Bulaya.

Ester wasira yupo CHADEMA
 
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.

Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.

Source: Nipashe

Huko anakoenda huwa hawahongi? Akamwulize Joyce Mukya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom