Povu linakutoka kweli,,
Sema Dada, yule sio mama kama wewe!!
Aisee ccm imeharibia watu mawazo kweli, kuwa MAMA ni sifa sio kasfa ndugu, hata ukiwa na miaka 10 ukijifungua mtoto wewe ni mama na ni fahari ya mwanamke yoyote kuwa mama.
Povu linakutoka kweli,,
Sema Dada, yule sio mama kama wewe!!
Aisee ccm imeharibia watu mawazo kweli, kuwa MAMA ni sifa sio kasfa ndugu, hata ukiwa na miaka 10 ukijifungua mtoto wewe ni mama na ni fahari ya mwanamke yoyote kuwa mama.
tulitegemea hivyo
ACT-TANZANIA huyo. Ni mmoja wa wale wabunge 50 aliowasema Supreme Leader au Ayatollaaah na genge lake la wasaliti & matapeli
Siku nyingi nilihisi huyu dada ana kitu tofauti kulinganisha na ninavyowafahamu CCM members na hasa pale alipokuwa akichangia hoja bungeni. Sishangai kuona amechukua uamuzi huo. Kuna dada mwingine aliibuka kishujaa humu jamnvini Nimelisahau jina lake la kwanza lakini la ni ..........Wasira, simsikii tena siku hizi, mwenye taarifa zake atujuze please. Well done E.Bulaya.
ukaribu wenu ni upi?
Karibu sana dada yetu kwenye ukombozi safari hii hatupeleki wambunge wa magamba kabisa kwasababu tukiwapa ridhaa ya kutuwakilisha bungeni wanaenda kutusaliti kwa kwenda kupitisha hoja za serikali kishabiki kwa kusema ndiooooooo!!!!.
Oooh kumbe ubunge wa viti maalum aliupata kwa kuhonga.
Mkuu mwanamke yeyote mwenye umri wa kuzaa anaweza kuitwa mama. Jee Ester hana umri huo?
Hilo neno lenye red color sijalielewa, naomba ufafanuzi
Zitto huyo anaingia Bunda.
mtaongea mengi sana mpaka kufika october....
Hadi mabubu watasema tu lakn hamtaamini siku mkinyamazishwa
Hapa Mdee kule Bulaya patachimbika kwelikweli namkubali sana huyu dada
Kwani hana mume??Easter Bulaya, ni mtu wangu wa karibu. Ila mimi sina hizi habari. Nina mashaka na hizi taarifa.
Mandla.
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.
Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.
Source: Nipashe
Kwani hana mume??