Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Source: Nipashe.
 

Attachments

  • 1437368405607.jpg
    1437368405607.jpg
    64.1 KB · Views: 696
Oooh kumbe ubunge wa viti maalum aliupata kwa kuhonga.
 
Karibu sana dada yetu kwenye ukombozi safari hii hatupeleki wambunge wa magamba kabisa kwasababu tukiwapa ridhaa ya kutuwakilisha bungeni wanaenda kutusaliti kwa kwenda kupitisha hoja za serikali kishabiki kwa kusema ndiooooooo!!!!.
 
Welldone sister I wish ningekuwa karibu kukupa mkono na busu la upendo
 
Zitto huyo anaingia Bunda.
 
Last edited by a moderator:
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.

Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.

Source: Nipashe

mtaongea mengi sana mpaka kufika october....
Hadi mabubu watasema tu lakn hamtaamini siku mkinyamazishwa
 
Alipataje huo ubunge wake ili leo aseme? Mtu akishikwa koroo anikimbilia kusema maneno mbofumbofu!
 
Safi sana mama yangu karibu sana ukawa wewe ulikuwa unatisha bungeni hukuwa unasema ndiyooo kama watu wengine you are intelligent keep it up
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom