Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Ester Bulaya aitosa CCM, asema hawezi kuhonga

Kwa jinsi alivyo ihenyesha CCM kwenye Bunge lilopita, ni dhahiri kwamba wangemkata. Wacha aje aungane na Kamanda Mdee.
 
Ester naimani chadena watakupa hata viti maalumu urudi bungeni ulifanya mema sana
 
Kiongozi yeyote ambaye anakerwa na umaskini wa wananchi,anakerwa na matajiri kukimbatiwa na chama cha Mapinduzi hawezi kubaki ccm
 
Kwa jinsi alivyo ihenyesha CCM kwenye Bunge lilopita, ni dhahiri kwamba wangemkata. Wacha aje aungane na Kamanda Mdee.

Sipati picha bunge lijalo lililojaa 60% ya wabunge wa upinzani
 
Estar hongera sana dada yangu wewe ni mpambanaji kabisa, ila binafsi ningalipenda kukalibisha NCCR - Mageuzi nacho ni chama cha Ukombozi Afrika. Karibu sana.
 
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.

Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.

Source: Nipashe
Ccm bila rushwa ni sawa na gari bila petrol halitaenda
 
Huyu, yule wa Mwibara, Deo, Lembeli, waondoke tu CCM maana si mahali pao, wasipoangalia hata kupitishwa wasingepitishwa

wanatoka huku wanalia maana hawakupenda basi tu wanajua watakatwa! Karibuni huko mwendako.
 
Siku nyingi nilihisi huyu dada ana kitu tofauti kulinganisha na ninavyowafahamu CCM members na hasa pale alipokuwa akichangia hoja bungeni. Sishangai kuona amechukua uamuzi huo. Kuna dada mwingine aliibuka kishujaa humu jamnvini Nimelisahau jina lake la kwanza lakini la ni ..........Wasira, simsikii tena siku hizi, mwenye taarifa zake atujuze please. Well done E.Bulaya.
 
Mbunge wa viti maalum ameamua kuitosa CCM, asema atarudi bungeni kivingine kwa sababu hawezi kuhonga.

Rushwa ndani ya CCM ndo imemkimbiza sasa kuhamia upinzani. Afuata nyayo za Lembeli.

Source: Nipashe


ACT-TANZANIA huyo. Ni mmoja wa wale wabunge 50 aliowasema Supreme Leader au Ayatollaaah na genge lake la wasaliti & matapeli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom